Asante sana, sidhani kua nilizaliwa kumoderate, nilizaliwa kukutana na marafiki, all the friends that you are. Pia nimebadili jina, kila saa watu walikua wanatuchanganya.
..
Sasa umekua mkubwa fasta sana....hope BD ilikua bomba...like you!
Kwa hiyo sasa hivi wanafupisha kukuita single R? :wacko: