BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
wakulu apo juu nimewasoma saaana Erickb52 na platozoom,
kifupi mshereheshaji mkuu Asprin na sweetlady mwenza wake wameshadefine some of the issues,
Upande wa totoz Asprin atahakikisha wapo wa ukweli,,,, ila vinywaji kamati imevunjwa kwa muda huu yupo Fixed Point....kwa wale walioshindikana kama wewe platozoom na Erickb52 itabidi muanzie kwa 'mama muuza"
maakuli naona yatakuwa poa chini ya BADILI TABIA na princess enny,
baadaye tutaingia maisha club kujiachia, hilo wala halina shaka.
Yaani!
baby BADILI TABIA hujambo lakini? Maana ndo ivo bosi kavunjilia mbali maana umetuhumiwa sana kwa kunywa vnjwaji vyote peke yao kwen mnuso wa Erickb52 jana
Unamuonea Catherine Magige bure, hana muda na mumeo
Yuko busy anapangua tuhuma za kuuzia chit chat mafuta ya mawese.
Asprin hajiwezi, leo hata ukae mguu pande bila kitu haoni, maana ndo mwenyekiti wa mawese huyo.
alalaalalalah!!! yan wewe Kaizer hapo umepatia kupita maelezo!! teh teh teh Asprin umeona sasa nimekabiziwa msosi!!!wakulu apo juu nimewasoma saaana Erickb52 na platozoom,
kifupi mshereheshaji mkuu Asprin na sweetlady mwenza wake wameshadefine some of the issues,
Upande wa totoz Asprin atahakikisha wapo wa ukweli,,,, ila vinywaji kamati imevunjwa kwa muda huu yupo Fixed Point....kwa wale walioshindikana kama wewe platozoom na Erickb52 itabidi muanzie kwa 'mama muuza"
maakuli naona yatakuwa poa chini ya BADILI TABIA na princess enny,
baadaye tutaingia maisha club kujiachia, hilo wala halina shaka.
hahahah...kwani hamna kutoa salamu za pongezi? nikipewa microphone lazima nianze na salamu yetu kwanza...hahaha tatizo Rejao huku kwen party hakuna uccm wala utlp sasa ndo hapo panakuwa na ukakasi
vaa ile suti yako ya mao tse tung ile....kaunda...apo sawa tutakupa mnadala wa Cantalisia kwa muda. unamchagua nani?
Kaizer huyu Asprin hata kwenye fotografa hafai, leo akae mlangoni kulinda wazamiaji afu Bishanga aende jikoni kwenye vyombo , akina Kongosho wanalalamika jikoni wamepungukiwa sana........ The secretary ameambiwa apeleke mapulizo ukumbini akina FirstLady1 wameshindwa kuendelea na mapambo!hommie Asprin, mwongozo wangu ni kwamba wewe na wake zako Yummy, cacico, BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho, tafadhal muwe na subra wakati wa hii sherehe , msije mkamtisha mtoto Roulette na mambo yenu ya kikubwa.....hasa BADILI TABIA.
Na hivi kamati ya vinywaji imevunjwa sijui tukuweke kwen picha? eti sweetlady unaonaje akawa fotografa?
Good kumbe wapenda saana kujitolea Fixed Point. habari ya siku lakini mzima? sweetlady please hebu muweke kwen kamato ya vinywaji huyu?
Wajameni! Wanachitchat na wanajamvi waandamizi na wale wa "siku hizi"
It is with great pleasure kuwa leo hii, our very interactive and friendlu colleague and mod wa hili jamvi, the one and only Roulette anasheherekea siku yake ya kuzaliwa.
HAPPY BIRTHDAY shemeji yangu mpenzi.
We love you and wish that you live to celebrate
Your birhday many years to come!
Mwaaaah!!!!!!
Kwa hili najua bado sherehe ya Erickb52 haijesha vizuri ila
Nawaomba wanachitchat nanwanajamvi wote tujumuike kumpongeza Roulette.
Kwa kaulo hii namwomba sweetlady haraka zile kamati usizivunje ila uangalie kama utaweZa kufanya reshuffle kidogo.
Maana kuna kina PakaJimmy na Mtambuzi wamelalamika ila Bishanga ataendelea kuwa ulinzi liwalo na liwe, @ ummu kuluthum atabeba keki na cacico
My shem atabeba champagne.
We love u Roulette.
Angalizo, mtoto ako hosp hadi jioni, anaangaliwa na sweet AshaDii japo naye tumbo limekuwa kubwa!
Asprin hebu niangalozie somesing apo fasta nina kiu!