Happy birthday Roulette! Mwaaaah

This is to wish you the best happy birthday Roulette. :A S 465:
May the good lord be your focusing light in many many good days to come.
Kaizer thanks for keeping the new born busy ... we will be there!!:A S 465:
 
Last edited by a moderator:
Afu upitie pale DDC uje na vijana wa "nginde" Supu tuitie nazi.

sikinde-busbc.jpg

Umenikumbusha mbali babu miaka yetu ile ......
 
Hello sweet RR! Mimi na my wife Erotica tunakupongeza sana kwenye hii siku yako muhimu ya kuzaliwa kwako. Erotica anapumua kwa furaha na kuniambia eti kwa kuwa upo kwenye sherehe hutapata muda wa ku-moderate jukwaa la siasa na kwa ajili hiyo atateremka huko kugawa vidonge vizito kwa watu waliomkwaza. And sorry RR, j'ai oublie' mon francaise que tu m'ensegne' Did I get it right?
 
Last edited by a moderator:
baba upo?? sikusomi ujue?? salamu kwa mama, mwambie nimeamini kweli ndoa ni ndoano! nipo baba na huyu babu navumilia tu!
Mamaako analia juu yako kila siku mwanangu wa kufikia...anasema kila akikukumbuka maziwa yanavimba na kumuuma!
Sijui ni kwaajili ya huyo kibabu uliye naye...hebu nambie ukweli kabisa mwanangu, anakutesa au ni yale mambo ya kawaida ya nanihii!...hata kama anazidisha niambie tu, usifiche kitu, maana kuna kipimo!...We ni mwangu tu, lazima nikutetee kwa lolote!
 
jamani babu Asprin nipo kwenye mfungo, mbna unanibania. hata kwenye bday ya Erickb52 nlikuja baada ya kufturu shahd yangu sweetlady thou nlimdanganya kuwa nipo busy! plz msickose kunialika!

saf sana BADILI TABIA tenah muieke jioni tule hadi tuzimie!! hehehehe!!! Asprin looh umeshndwa kutubania na natumai ushalegea viv sasa!! lol happy birthday next of kin Roulette
Nyie princess enny na charminglady mnaogopa manyoya??

attachment.php


Hebu kamuni zis wei banaaa.... Simba ana manyoya na anafuatwa itakuwa mie bana?

attachment.php
 
Happy birthday Roulette......Mungu akupe maisha marefu yenye furaha, amani na upendo!
Kaizer nimekupata ila kutokana na sababu zisizozuilika ile kamati ya vinywaji itabidi ivunjwe tu manake jana imefanya ndivyo sivyo.... PakaJimmy atabakia afu ataeua wengine wa kumsaidia........ platozoom jana katoroka na chupa za watu hivyo popote alipo namuomba azirudishe....... Asprin alilewa sana mpaka akasahau kuwa jana ilikuwa zamu ya kulala kwa cacico akalala kwa BADILI TABIA......hii imeleta ugomvi sana........ @Prteta nae ilivyofika jioni aliamua kujisevia badala ya kusevu kwa wageni waalikwa yaani kama sio TANMO angelala ukumbini jana......

charminglady asipangiwe kazi yoyote manake hata jana hakuweza kushiriki vema amebanwa kidogo...... Remmy alijitahidi sana kuhakikisha mtoto Erickb52 amekuwa mwenye furaha hivyo kwa heshima na taadhima naomba umpe kazi ya kumbeba mtoto Roulette manake yuko vizuri kwenye hiyo idara!....... Catherine asihudhurie kwenye hii sherehe manake jana ametoroka na keki ya b52..... Bishanga jana ametuangusha kwakweli manake alilinda mlango huku amelewa so kuna baadhi ya watu wasio na utu waliweza kuzamia na kuiba baadhi ya vitu kama glass, mapambo nk...... zaidi ya hapo mie sina neno niwatakie tu sherehe njema!
 
Last edited by a moderator:
Mke mwenza King'asti sherehe kama hizi zinanifanya nimkumbuke wifi AshaDii kweli kweli manake tulikuwa tunaenda kujichagulia michuchumio kwake lol.....afu wewe jana mbona hukuhudhuria kwenye birthday ya Erickb52? Au shemeji Paw ameanza yale mawivu yake eeh?...........leo nakuja kwenu kwa futari jioni hivyo uongeze maji ya uji!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom