Unajua wajomba zake walipo?Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar,
Unajua wajomba zake walipo?Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar,
Naunga mkono hojaLeo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
View attachment 2496748
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Mzee mwenzangu unazeeka vibaya, mambo ya kabila yanaingiaje katikati ya sherehe?!!!Naunga mkono hoja
Kwa vile leo ni birthday ya Rais Samia, nawaomba wana jf well wishers, tuungane kumu wish a Happy Birthday this lovely lady Rais wetu mpendwa, Rais wetu mpenzi, Rais wetu kipenzi, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, Chifu wa kabila kubwa kuliko makanisa yote Tanzania, ambayo Kanda ya kabila hilo ndio Kanda determinant ya kura za urais wa JMT, Chifu Hangaya.
View attachment 2496839
Happy Birthday
P.
Mbutama Elamu Le President!Leo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
View attachment 2496748
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Muda mchafu huo unatoka wapiNaunga mkono hoja
Kwa vile leo ni birthday ya Rais Samia, nawaomba wana jf well wishers, tuungane kumu wish a Happy Birthday this lovely lady Rais wetu mpendwa, Rais wetu mpenzi, Rais wetu kipenzi, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, Chifu wa kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, ambayo Kanda ya kabila hilo ndio Kanda determinant ya kura za urais wa JMT, Chifu Hangaya.
View attachment 2496839
Happy Birthday
P.
Alizaliwa katika Nchi ya Zanzibar !! 😅👍 nimeipenda hiyo sentensi !! Katiba mpya ni muhimu kwa kweli !!Leo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
View attachment 2496748
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Joe Biden ana miaka 80, anaongoza taifa kubwa kama Tz mara 4 kwa eneo, kama Tz mara 5 na zaidi kwa idadi ya watu, Tena wenye akili nzuri (high intelligence), (kumbuka ni rahisi kuchunga ng'ombe hata 100 kuliko kuchunga binadamu wawili au watu).Leo anamiaka 63, ikifika January 27 2025 anakuwa na miaka 65 (anazidi kuwa bibi) still bado anataka kugombea uraisi? Aje astaafu 2030 na miaka 70! Ataiweza nchi katika huo umri wa uzee?