Happy birthday Rais Samia Suluhu Hassan

Happy birthday Rais Samia Suluhu Hassan

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,997
Reaction score
28,302
Leo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.

Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.

Mtakie Rais maisha marefu.

IMG-20230127-WA0001.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
 
Leo anamiaka 63, ikifika January 27 2025 anakuwa na miaka 65 (anazidi kuwa bibi) still bado anataka kugombea uraisi? Aje astaafu 2030 na miaka 70! Ataiweza nchi katika huo umri wa uzee?
 
Leo anamiaka 63, ikifika January 27 2025 anakuwa na miaka 65 (anazidi kuwa bibi) still bado anataka kugombea uraisi? Aje astaafu 2030 na miaka 70! Ataiweza nchi katika huo umri wa uzee?
Uzee hi hekima🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom