USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 11,997
- 28,302
Leo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR