Does it help any thing?tunashare birthday mwezi mmoja.
Mine is 2nd January.
Does it help any thing?tunashare birthday mwezi mmoja.
Mine is 2nd January.
Happy Birthday Rais wetu, Mungu akujalie afya bora, maisha marefu na uongozi wenye mafanikioLeo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Happy birthday mamaa prezidaa. God bless you.Joe Biden ana miaka 80, anaongoza taifa kubwa kama Tz mara 4 kwa eneo, kama Tz mara 5 na zaidi kwa idadi ya watu, Tena wenye akili nzuri (high intelligence), (kumbuka ni rahisi kuchunga ng'ombe hata 100 kuliko kuchunga binadamu wawili au watu).
Kwa hiyo atakuwa hajachoka sana, ila ni kuomba Mungu tu ccm isifike muda huo maana imechakaa mno.
Imekaa vizuri. Hivi mh. Magufuli bes dei yake lini?Chama Cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA kinamtakia Kila la heri Rais SSH katika siku yake ya kuzaliwa. Mungu ampe maisha marefu.
CatastropheLeo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Happy birthday kwa Mama yetu mpendwa SSH. Nuru ya WatanzaniaLeo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Wewe unaoneje au unataka nihamie february ili ihelp something??Does it help any thing?
HAPPY BIRTHDAY 🎂 TO our President Dr Samia Suluhu Hassan ! Mungu akupe maisha marefu na Afya njema na Busara tele 🙏🙏🙏🇹🇿Leo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Hata Obama nduguze wapo Kogelo Kisumu Kenya 🇰🇪 !!Unajua wajomba zake walipo?
Kwa hiyo!!???tunashare birthday mwezi mmoja.
Mine is 2nd January.
Hii nayo umeona ni hoja. Omba nawe Mungu akujaalie umri mrefu upate muda mrefu wa kumtumikia. Uzee dawa.Leo anamiaka 63, ikifika January 27 2025 anakuwa na miaka 65 (anazidi kuwa bibi) still bado anataka kugombea uraisi? Aje astaafu 2030 na miaka 70! Ataiweza nchi katika huo umri wa uzee?
Happy birthday 🎉🎉🎉 mama uishi miaka Mingi....Leo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Ninakutakia Heri Nyingi, Afya Njema na Umri Mrefu Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa uliyeweka rekodi barani Afrika. Bado tunakuhitaji utuvushe na tuvuke wote katika kipindi hiki cha misukosuko ya kiuchumi duniani. Mungu aendelee kukulinda.Leo 27/January ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan, ametimiza miaka 63 hapa Duniani.
Rais alizaliwa January 27 mwaka 1960 katika nchi ya Zanzibar, ilikuja kuungana na tanganyika mwaka 1964 na kuunda taifa la Tanzania.
Mtakie Rais maisha marefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
USSR
Amua unavyoona inakufaa wewe.Kwa hiyo!!???