alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,688
- 12,159
Hivi ni kweli hajaona hili bandiko? au bandiko lina agenda tofauti?Tarehe kama hii yani 08/04/1968 alizaliwa mwanasheria, mwanahabari na mchamuzi nguli Pasco Mayala.
Happy birthday to you Pasco Mayala. Mola akupe maisha marefu yene HERI na BARAKA.
Happy birthday mkuu Pasco moja ya watu ninaowakubali kwa maarifa wanayotoa toka kitambo sana hapa jf ,ingawa kuna kenge wapo humu wanamvunjia heshima wananikera Sana.Tarehe kama hii yani 08/04/1968 alizaliwa mwanasheria, mwanahabari na mchamuzi nguli Pasco Mayala.
Happy birthday to you Pasco Mayala. Mola akupe maisha marefu yene HERI na BARAKA.
Umri umeenda sana
Wametangaza asbh clouds
A.k.a wa potiHappy kuzaliwa day bro...!homeboy wa John Pombe Magufuli!