ping pong ping pong ping ping ping.....this is how we say happy b'day in kikwetu....tunaibinjulia wapi hii leo jamani jamani?
Bonyeza hako kadude ka senksi chini ya posts zangu, ntakuwa nakurushia copy (utasamehewa dhambi zako zote za Infidelity ukizingatia sijawahi pata senksi yako)Hivi nikitaka kujipa "Thanks" nafanyaje??
Mods hebu adjust vitufe kwenye hii PC yangu, naona hakipo
Hahahaha! jana Vuvuzela yangu iligeuka kuwa filimbi....Hizo ni hasira za kufungwa ZA jana... NO MORE VUBUZELAS and NO MORE INFIDELITY
Sadaka tunatolea wapi?:hungry:ray2:... Asante Mungu kwa kusikia sala za mtumishi wako:angel: (No More):horn:and Instead :tea:
Hamada umelewa! weee hamada! Hamada umelewa!
Hamada tokea utotoni jeuri sana!
na leo unasherekea siku yako ya kuzaliwa hongera sanaaaaaaaaaaaaaaaa..
Hamada umelewa! Hamada umelewaaaaaaaaaaaaaaaaaa...from Bi Kidude binti Jamali....
Pj hii ni dedication kutoka kwangu! naomba usake huu wimbo uusikilize...
Na wewe kwa kudoea, ole wako tukuone kwenye birthday party ya PJ. Najua hujakaribishwa.Hongera PJ and HAPPY BIRTHDAY, Mungu akutangulie, be blessed and celebrate well. arty:
Tunaimalizia pale FRC Mikahawani...mambo ya swimming, na gym, bila kusahau choccochino!