Huh...this's the best of the days to me!...maana parents wangu walinisimulia kuwa ndo niliyozaliwa!...Lakini bado nauliza swali...How to count my age?..is it from the day i was conceived, or the day i was born?I might be older than iam said to be!!
Mshukuru Mungu kwa Punzi ya kwanza alokupa na ukaanza kuhesabu miaka, Endelea kumshukuru kwa kukupa zawadi ya maisha bure na kukuongezea miaka ya kuishi ili uwe mwanga na chumvi kwa wote wanaokuzunguka.PakaJimmy unaanza kuhesabu siku ya kwanza uliyovuta pumzi ya duniani ..be blessed :humble::tea:
Huh...this's the best of the days to me!...maana parents wangu walinisimulia kuwa ndo niliyozaliwa!...Lakini bado nauliza swali...How to count my age?..is it from the day i was conceived, or the day i was born?I might be older than iam said to be!!
Mala hii umeshafikisha miaka 71 my shemeji kweli siku hazigandi
Mwenyezi mungu akujaalie maisha mema na marefu we love u
Mi niko interested na kaumri kake. (kuna dada yangu anatafuta mume)
How Old Are You Now PJ?
Happy birthday biggie! Una bahati bro, birthday wishes zimeanzishwa na askofu( japokuwa mapepe)arty:arty:arty:
hivi baba mchungaji ungependa senksi ngapi kwa siku!nimeamua kujitolea kukupa senksi mpaka utakapochemka!halafuuu,tunaonana lini madhabahuni?Hivi nikitaka kujipa "Thanks" nafanyaje??
Mods hebu adjust vitufe kwenye hii PC yangu, naona hakipo
hivi baba mchungaji ungependa senksi ngapi kwa siku!nimeamua kujitolea kukupa senksi mpaka utakapochemka!halafuuu,tunaonana lini madhabahuni?