Happy birthday mzizi mkavu

images
 
I have a face book friend whose name is Mzizi Mkavu, I am not very sure whether this is the same @MziziMkavu we have at JF. If you are the same then this message belongs to you.

"Dear Mzizi I may not be by your side... celebrating your special day with you..But i want you to know that i'm thinking of you... &
wishing you a wonderful birthday @mzizimkavu !!"

From MBN


Bibie Mrembo by Nature Ndio mimi nipo facebook Asante kwa kunipongeza na kuniwahi kunitolea Salam zangu za Happybithday ninatimiza miaka leo ikifika saa 6 usiku asante sana Mungu akubariki kwa kunikumbuka.

nadhani zimemfikia..

Mmhh hata hakumbuki yuko porini kuchimba mizizi!

Kwa alivyoniburudisha na majanga nitakuwa sijamtendea haki nisipomwambia happy birthday

Ukop wapi MziziMkavu ?

Kama ni kweli....happy birthday MziziMkavu

Happy birthday mtabibu!!

HBD Kiongozi, mzizi mkavu hauchimbwi dawa.

Happy Birthday

happybirthday tabibu

Kama ni yeye, HBD daktare.

Happy birthday mkuu.

!
!
ni kwamba kama umetoa mwaka mmoja katika ile jumla ya miaka ambayo ulitakiwa kuishi.....sasa sijui nikupongeze au nikuonee huruma

Ngoja tumsubiri aje kuthibitisha...

Miye niliburudika na 'malkia wa masokwe! Barabara! Happybday Mzizi

happy birthday to you!!!!!!!!!1

happy birthdate maalim

Kama si yeye basi naipokea mimi, maana it is also my B'day.

Ila kama ni yeye, HBD pacha.

Sisemi kitu mpaka MziziMkavu aje hapa!

Happy birthday docta.


Hongera sana

Mkuu Mzizi Mkavu,uishi maisha marefu.

Happy birthday MziziMkavu,Mungu akujalie maisha marefu ya Furaha,Afya njema na mafanikio tele!

Happy birthday Kaunga, nasubiri uthibitisho toka kwako MziziMkavu

Happy birthday Kaunga and MziziMkavu.
Mungu awajaalie mema ya nchi ni kisha peponi

Kwakweli hata miye. Huenda kule fb si yy!

MziziMkavu sema neno ili upate haki yako.
Asanteni wote muliochangia hii

Thread ni kweli niko kwenye facebook ninatumia jina hili hili la Mzizimkavu hakuna mtu mwengine anayetumia jina langu. Leo

ikifika saa 6 ninatimiaza miaka 48 asanteni wote kwa kunipongeza ninawashukuru wote wanachama wenzangu wa Jamii

forums na Ma Moderator wote. Sina cha kuwalipa Mungu ndie atakaye walipa ninakaribisheni huku nilipo Ughaibuni

kwenye Sherehe yangu ya kuzaliwa ninawakaribisha wote karibuni na asanteni kwa kunipongeza Mungu awabariki

nyinyi wote.
 
Last edited by a moderator:
ninakaribisheni huku nilipo Ughaibuni kwenye Sherehe yangu ya kuzaliwa ninawakaribisha wote karibuni na asanteni kwa kunipongeza Mungu awabariki

nyinyi wote.

Hongera kijana ....Uko chimbo (nchi ) gani nitafute ungo wangu nipae kutoka milimani kwetu nihudhurie mwaliko huu??
 
Mungu akuongezee baraka,afya njema,busara na maarifa mengi mengineyo katika siku yako hii ya kuzaliwa MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Ungekuwa ujachana nanii yetu ningekuletea ile savanna ya kichaga aisee(mbege)

hata hivyo long live br
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom