Sista
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,208
- 1,038
happy birthday MziziMkavu hebu sogea nikuchumu......mwaaaaaa
Last edited by a moderator:
Sisemi kitu mpaka MziziMkavu aje hapa!
Kama si yeye basi naipokea mimi, maana it is also my B'day.
Ila kama ni yeye, HBD pacha.
Sehemu niliyopo mimi huwezi kufika ni machimbo Heavy na hawezi kufika binadamu yoyote ile ila mimi tu. Nipo kwenye Machimbo ya Ufo nipo na Viumbe Ufo angalia hapo chini
![]()
Ndege ya Ufo hiyo.
![]()
Viumbe hao Ufo wenyewe.
![]()
Ndege yetu hii hapa nina Chat na wewe nipo ndani ya ndege.
Hongera sana, gawanya kwa mbili unapata umri wangu
Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Leo wewe una kitu 50 na kidogo. Bisha! -Yote kwa yote Happy Birthday MziziMkavu, you are now 50+!Bibie Mrembo by Nature Ndio mimi nipo facebook Asante kwa kunipongeza na kuniwahi kunitolea Salam zangu za Happybithday ninatimiza miaka leo ikifika saa 6 usiku asante sana Mungu akubariki kwa kunikumbuka.
Asanteni wote muliochangia hii
Thread ni kweli niko kwenye facebook ninatumia jina hili hili la Mzizimkavu hakuna mtu mwengine anayetumia jina langu. Leo
ikifika saa 6 ninatimiaza miaka 48 asanteni wote kwa kunipongeza ninawashukuru wote wanachama wenzangu wa Jamii
forums na Ma Moderator wote. Sina cha kuwalipa Mungu ndie atakaye walipa ninakaribisheni huku nilipo Ughaibuni
kwenye Sherehe yangu ya kuzaliwa ninawakaribisha wote karibuni na asanteni kwa kunipongeza Mungu awabariki
nyinyi wote.
Happy birthday Kaunga, nasubiri uthibitisho toka kwako MziziMkavu
Happy Birthday dada wa mimi.
Stay blessed.
Happy birthday MziziMkavu na Kaunga
hahah kumbe tunaweza kuwa ni wapenzi na wewe pia Happybithday bibie mpendwa ninakutakia kila la kheri inshallah siku ya leo bibie Kaunga.Thanks dear, sikujua kuwa nashare birth date na MziziMkavu