Happy birthday my lovie!

Happy birthday my lovie!

Hepi besdei kwake, angalau leo utaitwa mai lavu...
 
Dina wacha zako usije nisababishia nikaachwa mimi..
Kwani we na mshana mliishia wapi..?

Kweli ulisemae utanioa mwezi wa 12 tukaenda hadi ulizia shela leo unamuwish mwingine tena
Mshana ndio nani mbona simfahamu
 
Kweli ulisemae utanioa mwezi wa 12 tukaenda hadi ulizia shela leo unamuwish mwingine tena
Mshana ndio nani mbona simfahamu
Naona tule tumzimu twako tumeanza kukupanda! Labda shela la majani ya mihogo..🤣
 
Kweli ulisemae utanioa mwezi wa 12 tukaenda hadi ulizia shela leo unamuwish mwingine tena
Mshana ndio nani mbona simfahamu
Leo humjui mshana wako duh! Unajua kukana we dada upo vizuri..😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom