Happy Birthday, Mr. President!!

Happy Birthday, Mr. President!!

Status
Not open for further replies.
Na Hivi nyie wawili mnajua kuwa Ukristo na Uislamu zote ni dini za kuabudu mizimu? Kwamba mizimu hiyo ndiyo kiunganishi cha watu kumfikia Mungu? Kwamba kuna Mzimu Muhammad na Mzimu Yesu? Na kwamba Wanaoabudu Mizimu kwa majina mengine katika Afrika nao wanamwabudu Mungu?

Na kwamba Ukristo na Uislamu ndo walewale? Kwamba wamekaa kisiasa zaidi Kuliko kiroho zaidi! Kwamba Ukristo na Uislamu watuache waafrika tupumue!

Tuacheni tumue!!!!!!

Umue nani?
Nyie si ndio mnao abudu wake zenu nyie!

Halafu unakuja mwaga povu hapa!
 

Homework kwako.

1. Hivi unafahamu sababu za kutotajwa tarehe ya kuzaliwa Yesu Mungu?
2. Hivi unafahamu sababu za kutotajwa tarehe ya kuzaliwa Isa Bin Maryam kwenye Koran?
3. Hivi unafahamu Yesu Mungu alibarisha mwenendo wa dunia na kuanzisha AD na BC?
4. Hivi Yesu Mungu ana Baba? Unaweza nitajia Jina lake?
5. Hivi unafahamu kuwa, Kama Biblia ingetaja Tarehe ya Kuzaliwa Yesu, na Koran nayo ingetaja Tarehe ya kuzaliwa Isa Bin Maryam?
6. Hivi unafahamu kuwa hakuna Injil ndani ya Koran, zaidi ya madai kuwa "tumeteremsha Injil"?
7. Hivi unafahamu kuwa UMEKIRI kuwa Allah hafahamu tarehe aliyo zaliwa Isa Bin Mryam?
8. Hivi unafahamu kuwa, UMEKRIRI KUWA Yesu Baba yake ni Mungu?
9. Hivi unafahamu kuwa UMEKIRI bila ya kujielewa kuwa Koran inakopia Biblia?






We taralila ! mungu wako kazaliwa krismas!
Kataa sasa watu wakuone!
 

Nonda, hivi bado unaisaidia Koran kwa kuleta you tubes? Yaani inamaana Allah amefirisika kiasi cha kupata usaidizi wa you tubes? Hakuna aya yeyote ile ya kumfutia machozi Allah wenu?

Nasikia eti bado hamfahamu lini ni sikuu yenu - kesho au Ijumaa? Hivi kweli ndugu yangu, wewe unafuata dini inayoongozwa na Mwezi? Yaani Allah kaishiwa Mamlaka sasa anategemea Mwezi uchague Sikukuu? Nonda, I thought you are better than that.

Nyie washashi mnatuchafulia lugha! Sio "firisika" bali ni "filisika".
Na mungu wako alikufa na alizaliwa krismas! Au unabisha!!?
 
Teh teh teh teh!
Yaani wewe umemshinda hata huyo mungu wako!
Kila ukifufuka! Unajibatiza jina lingine!!
Halafu mwenzako alifufuka pasaka tu!
Wee anytime! Teh teh teh teh!

Sasa je umekubali kuwa huyo mungu wako anatarehe ya kuzaliwa!?

Na zile video ustadhi Nonda alizokutumia umeziona!?

Teh teh teh teh!
Ugalatia unataka moyo nyie!!!!
Si mchezo!!

Sio moyo tu, unataka usiwe muoga wa moto ,ujiwehushe cz no logc,pia uwe ziwi na pofu
 
Last edited by a moderator:
Umue nani?
Nyie si ndio mnao abudu wake zenu nyie!

Halafu unakuja mwaga povu hapa!

hiyo ni typo mkuu. nimeomba mtuache tupumue.... hizi dini zenu zinatuletea matatizo kuliko msaada katika siasa hapa afrika
 
Ndo maana zinedine alisema hawa si wakujadiliana nao maana wanaleta utoto kwny facts mfano wa maswali anayouliza hayana tofauti na sisi tukuulze ww MAXSHIMBA kuwa biblia iseme paulo kazalwa trehe ngapi na alizaliwa akiwa na kilo ngapi
 
Sio moyo tu, unataka usiwe muoga wa moto ,ujiwehushe cz no logc,pia uwe ziwi na pofu

We mbona unaongea kichina humu!
Au umeshakula ile maneno!?

Haya ndio matatizo ya kula vibudu! Matokeo yake maneno yanapandana!
 
hiyo ni typo mkuu. nimeomba mtuache tupumue.... hizi dini zenu zinatuletea matatizo kuliko msaada katika siasa hapa afrika

Tuwaache muabudu nanii za wake zenu!??
Nyie msio na dini ndo balaa kuu ktk hii dunia!
Manake hamna mipaka! Mnaweza fanya lolote bila kuhofu chochote!
Nyie si ndio mnaofuata matamanio ya nafsi zeni bila mipaka!?!
Matokeo yake ni kutulegezea masuruali na wanamme kutafunana wao kwa wao!!

Ogopeni Mungu nyie!
 
Tuwaache muabudu nanii za wake zenu!??
Nyie msio na dini ndo balaa kuu ktk hii dunia!
Manake hamna mipaka! Mnaweza fanya lolote bila kuhofu chochote!
Nyie si ndio mnaofuata matamanio ya nafsi zeni bila mipaka!?!
Matokeo yake ni kutulegezea masuruali na wanamme kutafunana wao kwa wao!!

Ogopeni Mungu nyie!

haha haha ha.... inaelekea weye bwana ujaisoma Qur-an vizuri weye: Umaambiwa Mpende Mkeo nafsi ya pili tu, kutoka kwa Mungu. Yaani hata nafsi yako weye ni iwe ya tatu. Sasa unambie hapo; kati yangu mie nawewe nani anapenda papuchi zaidi hapo. Mimi?..au wewe? Ha ha ha ha ha... chezea papuchi wewe.....
 
haha haha ha.... inaelekea weye bwana ujaisoma Qur-an vizuri weye: Umaambiwa Mpende Mkeo nafsi ya pili tu, kutoka kwa Mungu. Yaani hata nafsi yako weye ni iwe ya tatu. Sasa unambie hapo; kati yangu mie nawewe nani anapenda papuchi zaidi hapo. Mimi?..au wewe? Ha ha ha ha ha... chezea papuchi wewe.....

Mdomo mali yako!

Halafu kuniita mi BWANA na hivo vicheko vya kikahaba vinatia shaka sana!
We ka mwanamme sawasawa hapana kuita mwanamme mwenzako BWANA na ukifurahi! Basi unacheka teh teh teh teehe!

Huko kukenua mdomo mpaka mwisho!
Unaweza kuitwa na mtu vibaya! Ukarusha ngumi!

Na nionyeshe hilo andiko linalosema huo utumbo ulio andika hapo juu!

Nyie subirini tu!
Siku mi nikichukua nchi! nyie msiokuwa na dini Mtakula mjeledi kama mkoloni alivyo wafanya!
Mpaka mjue kuwa mungu si mangi!
 
Mdomo mali yako!

Halafu kuniita mi BWANA na hivo vicheko vya kikahaba vinatia shaka sana!
We ka mwanamme sawasawa hapana kuita mwanamme mwenzako BWANA na ukifurahi! Basi unacheka teh teh teh teehe!

Huko kukenua mdomo mpaka mwisho!
Unaweza kuitwa na mtu vibaya! Ukarusha ngumi!

Na nionyeshe hilo andiko linalosema huo utumbo ulio andika hapo juu!

Nyie subirini tu!
Siku mi nikichukua nchi! nyie msiokuwa na dini Mtakula mjeledi kama mkoloni alivyo wafanya!
Mpaka mjue kuwa mungu si mangi!

ha ha ha ha.. weye wanchekesha sana ujue?! Qur an imejaa aya zinazohusu papuchi. Na weye unasema ujui ziko wapi? Hee! weye Muislam wa aina gani yakhe? Chezea papuchi weye.... kitabu kizima robo tatu ndo hayo... weye vipi bana!!!

Unaelekea Mujahidina weye: kama unayo Qur-an hapo hem fungua Aya hizi halaf urudi hapa: Tangulia ana vifungu hivi: (30:21), (2:221), (7:189), (2:223), (2:222), (4:34), (4:4), (4:34) Mwisho wa kusoma malizia hapa (2:187). Naomba uhakikishe hichi kifungu cha mwisho kinabakia kuwa cha mwisho. Tafadhali sana kwa sabu bado kuna watanzania wapo kwenye mfungo sita.
 
Na Hivi nyie wawili mnajua kuwa Ukristo na Uislamu zote ni dini za kuabudu mizimu? Kwamba mizimu hiyo ndiyo kiunganishi cha watu kumfikia Mungu? Kwamba kuna Mzimu Muhammad na Mzimu Yesu? Na kwamba Wanaoabudu Mizimu kwa majina mengine katika Afrika nao wanamwabudu Mungu?

Na kwamba Ukristo na Uislamu ndo walewale? Kwamba wamekaa kisiasa zaidi Kuliko kiroho zaidi! Kwamba Ukristo na Uislamu watuache waafrika tupumue!

Tuacheni tupumue!!!!!!

Unapovuta "joints", don't come here na kupost -----.
 
We taralila ! mungu wako kazaliwa krismas!
Kataa sasa watu wakuone!

Yaap Kazaliwa Krismaa, sasa niletee tarehe ya Krismas kwa Ushaidi wa Koran iliyo teremshwa na Gibril allah incarnate.
 
Ndo maana zinedine alisema hawa si wakujadiliana nao maana wanaleta utoto kwny facts mfano wa maswali anayouliza hayana tofauti na sisi tukuulze ww MAXSHIMBA kuwa biblia iseme paulo kazalwa trehe ngapi na alizaliwa akiwa na kilo ngapi

Hivi kati ya Paul na Mwamedi nani zaidi?

Ili kukuonyesha wewe na Allah wako na Mtume wako si mali kitu na hamjui kitu:

Juisi ya pilipili ya kwanza: Paul alizaliwa 5 AD, sasa tafuta aya kwenye Koran kama utapata ya Kuzaliwa Isa?

Utakapo shindwa na kukiri kuwa Allah hana ubavu zaidi ya Paul, nitakupa Tarehe ya kuzaliwa Paul, na Mwezi.
 

Homework kwako.
........
8. Hivi unafahamu kuwa, UMEKRIRI KUWA Yesu Baba yake ni Mungu?
9. Hivi unafahamu kuwa UMEKIRI bila ya kujielewa kuwa Koran inakopia Biblia?


Kama nimekiri kuwa Yesu Baba yake ni Mungu, umesahau kuongeza pia kuwa nimekiri kuwa Mama yake Yesu ni Mungu mama. Pia Mama yake Yesu,Mary/Maryam ni Mke/Kimada wa Mungu (inategemea uhusiano utakaochagua).
Adamu je?
Na Adamu ambaye hana mama wala baba atakuwa ndio Mungu Mkuu?

Link Surat 'Ali `Imran [3:59] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Link The Likeness of Jesus is as of Adam


Ulikuwa huelewi kuwa Quran inakopia Biblia. Ona hapa jinsi Quran inavyo-photocopy kutoka Biblia. Link Surat An-Nisa' [4:157] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

link Bible & Koran

Link Similarities & Differences between Qur

Link Islam Tomorrow .com
 
Huyu wa pili anaeitwa PASTOR FAUSTIN MUNISHI!

Yaani anaimba utafirikiri kamsikia muchungwaji MaxShimba na bibie Eiyer wanavyosema kila siku kuwa "Yesu kafa kwa ajili ya madhambi yao!!

sasa mwiteni na huyo juma au maulidi sasa!
manake nyie huwa hamchelewi kubatiza!!

Kwanza ngoja niweke mambo sawa maana naona unaweza kuwasababishia baadhi ya watu usumbufu ili ukiendelea ijulikane una matatizo mengine

Ndugu mimi ni MWANAUME na sio kama unavuofikiria maana naona kila uchao unalazimisha mambo ya ajabu sana!!!!
 
Kwanza ngoja niweke mambo sawa maana naona unaweza kuwasababishia baadhi ya watu usumbufu ili ukiendelea ijulikane una matatizo mengine

Ndugu mimi ni MWANAUME na sio kama unavuofikiria maana naona kila uchao unalazimisha mambo ya ajabu sana!!!!

Wewe ni MWANAUME kama Mjf Tiba?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom