Allah ana jicho moja, alafu usoni ameandikwa kafiri.
Wewe Nonda, mwakilishi wa Mungu ni nani? Mbona simfahamu.
Wewe Nonda, mwakilishi wa Mungu ni nani? Mbona simfahamu.
Max Kyenju
Unazikumbuka hizi?
I am the Lord your God, .....
3 You shall have no other gods before me.
4 You shall not make for yourself an image in the form of anything in heaven above or on the earth beneath or in the waters below. 5 You shall not bow down to them or worship them; for I, the Lord your God, am a jealous God ..... link Exodus 20 NIV - The Ten Commandments - And God spoke - Bible Gateway
Angalia na hii link Surat Al-'Ikhlas - The Noble Qur'an - ?????? ??????
Usichoke soma na hii link Surat Al-Baqarah [2:255] - The Noble Qur'an - ?????? ??????
Halafu sikiliza ushauri wa Mzee mwisho wa Clip
Huyu jamaa katika video alitembelea makao makuu ya mwakilishi wa Mungu, aliona nini?
Usingoje kuhadithiwa, tembelea hii Link http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpag e&v=ZYlTtV4z3oA
Hii komenti imesababisha nicheke..Allah ana jicho moja, alafu usoni ameandikwa kafiri.
Wewe Nonda, mwakilishi wa Mungu ni nani? Mbona simfahamu.
Max Kyenju
Unazikumbuka hizi?
I am the Lord your God, .....
3 You shall have no other gods before me.
4 You shall not make for yourself an image in the form of anything in heaven above or on the earth beneath or in the waters below. 5 You shall not bow down to them or worship them; for I, the Lord your God, am a jealous God ..... link Exodus 20 NIV - The Ten Commandments - And God spoke - Bible Gateway
Angalia na hii link Surat Al-'Ikhlas - The Noble Qur'an - ?????? ??????
Usichoke soma na hii link Surat Al-Baqarah [2:255] - The Noble Qur'an - ?????? ??????
Halafu sikiliza ushauri wa Mzee mwisho wa Clip
Huyu jamaa katika video alitembelea makao makuu ya mwakilishi wa Mungu, aliona nini?
Usingoje kuhadithiwa, tembelea hii Link How I came to Islam - Musa Cerantonio - YouTube
Huyu jamaa, kwao hakuna mikasi ya kunyolea ndevu au?
Hata wewe huijui siku na tarehe aliyozaliwa "Mungu" Yesu?
Inatosha kujua kuwa Yesu alizaliwa. Au hufahamu pia kuwa " Yesu Kristo ni Mungu " alizaliwa?
Je Mungu anazaliwa?
WEWE MBONA UNAONGEA KAMA HUNA MENO!!
WEWE MUNGU WAKO SI AMEZALIWA 25/12 !! SASA HUYU MWANA WA HUSEIN ANAKUHUSU NINI??
wee subiri krismasi umpe huyo mungu wako "HI" HALAFU UNAJUA HIZI CHRISMAS ZENU ZINASABABISHA GLOBAL WARMING??
MANAKE WAGALATIA WANAMALIZA MITI IKIFIKA DECEMBER.
wachafuzi wakubwa wa mazingira !!
We si unakubali kuwa YESU NI MUNGU!?
HALAFU UNAKATAA KUWA HAKUZALIWA!
HIVI ILE SHEREHE YA CHRISTMAS HUWA MNASHEHEREKEA UZAWA WA NYERERE SIO!?
teh teh teh teh!
Mfa maji bwana haachi kujamba ovyo!
Teh teh teh teh!
Hebu we shangazi Eiyer njoo umuokoe yuda eskarioti ! Kabla hajafa kifo cha laana!
Cc Ritz Izz
Kahtaan umemkimbiza Max.
Mungu alijitoa mhanga ili kuokoa viumbe vyake kwa mujibu wa Max
Lakini huku makanisani wanatuimbisha "kila mtu ataubeba mzogo Wake mwenyewe"
Wanasiasa nao wanapoamua kutulundikia kodi na kutugawia umasikini utawasikia wanasema ,"kila mtu ataubeba msalaba wake"
Usifikiri utaweza badilisha argument hapa:
MIMI NATAKA MNILETEE AYA MOJA TU, MOJA TU, NARUDIA TENA MOJA TU KUTOKA KORAN INAYO WEZA KUMSADIAIA allah wenu ili tusimwite MUONGO.
1. Kama kweli Allah ni Mungu,
2. Kama kweli Allah alimtuma Isa Bin Maryam kama alivyo dai kwenye Koran ya Jibril,
3. Kama kweli Isa ni Mtume wa Allah,
Basi nijibu swali langu?
Nileteeni kwa ushaidi wa Aya Tarehe ya kuzaliwa Isa Bin Maryam?
Usifikiri utaweza badilisha argument hapa:
MIMI NATAKA MNILETEE AYA MOJA TU, MOJA TU, NARUDIA TENA MOJA TU KUTOKA KORAN INAYO WEZA KUMSADIAIA allah wenu ili tusimwite MUONGO.
1. Kama kweli Allah ni Mungu,
2. Kama kweli Allah alimtuma Isa Bin Maryam kama alivyo dai kwenye Koran ya Jibril,
3. Kama kweli Isa ni Mtume wa Allah,
Basi nijibu swali langu?
Nileteeni kwa ushaidi wa Aya Tarehe ya kuzaliwa Isa Bin Maryam?
Mwanamme halisi hatakiwi kunyoa ndevu!
Anatakiwa kuzipunguza kidogo tu zikizidi sana!
Haya mambo ya kunyoa ndevu na kupendeza kama kina dada!
Matokeo yake ndio hayo ya ndoa za wanamme kwa wanamme kwenye nyumba za bwana!
We nyoa nyoa tu! Utakuja nyolewa na mchungaji siku moja!
Ohooòooooo!
Japo angepunguza kidogo, maana yake inaonekana kama kichaka flani hivi, Lakini mkuu, kama ndevu ndio kiashiria cha mwanaume halisi inamaana wale ambao Allah(SWT)hakuwajaalia ndevu kwa mfano wajapani, sio wanaume halisi?
Teh teh teh, Shariff kahtaan, huwa nacheka sana nikisoma bible.We si unakubali kuwa YESU NI MUNGU!?
HALAFU UNAKATAA KUWA HAKUZALIWA!
HIVI ILE SHEREHE YA CHRISTMAS HUWA MNASHEHEREKEA UZAWA WA NYERERE SIO!?
teh teh teh teh!
Mfa maji bwana haachi kujamba ovyo!
Teh teh teh teh!
Hebu we shangazi Eiyer njoo umuokoe yuda eskarioti ! Kabla hajafa kifo cha laana!
Cc Ritz Izz