Happy Birthday ME..............LET ME SHARE THIS WITH YOU!!!!!!!!!!!!

Happy Birthday ME..............LET ME SHARE THIS WITH YOU!!!!!!!!!!!!

2qcgks2.jpg
 
Happy birthday my love.

Umetimiza miaka kumi na ngapi?

Afu ukome kutuzalisha wazee. Nilipofikisha 50 ndo nlikopa hela ya kununua kiwanja. Unataka nambia nlichezea maisha? Ututake radhi wastaafu.

hahaa we babu wewe usichekeshe waliolala lol!!!!!!!!!!

Siwataki redhi Ng'o!!!!!!!!!!!!

halafu hapo kwenye red ulimaanisha nini!!!!!!!!
 
happy birthday muke ya muzungu, mungu akuongoze ndoto zako zote zitimie.

hahaaa Husninyo mungu atakuwa amesikia dua yako........

naomba umsalimie Hamis ikiwezekana mje nae kwenye kula keki lol!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
HBD the beautiful little girl, have a wonderful day.
 
HBD mpenzi:love::love: wangu, nilijisahau kabisa yaani hizi hela kuzitafuta zinafanya nisahau mengine.
Na wewe unge ni-PM kunitonya nikurushe hewani aaaaagh:doh:

babe ela zipo na zitaendelea kuwepo...........

sikutaka kukudizturb halafu naona ulikuwa busy sana!!!!!!!!!!
 
Happy birthday lazymate:thumbup::thumbup::thumbup:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom