Happy Birthday Mahondaw ❤️

Kama Smart anafanya hivi , unajua Mahondaw anafanya nini in return?
Generation ya wanaume (baba na babu zetu kurudi hadi kwa Adam) wanaowekeza vingi k.v attention resources na mda kwenye talking stage kwa mwanamke, huku wao wakipata chenga chenga za mkate, inaenda kuisha taratibu, jinsi maarifa yanavoongezeka, chivalrous men kama kina smart911 wanazidi kupotea..

Wadada wengi mtandaoni wanalalamika na sisi wanaume kwenye early stage za mahusiano tunapiga vizinga wadada 😁 tena wanasema kauli za wanaume hao zipo hivi (mamtu una elfu tano hapo) nikajiuliza dooh ni kweli au story, kama ni kweli, male species tumefikaje hapo 😮‍💨 binti kiziwi ephen_ ShesRise_1
 
Subiri wanza we ni ile sample ya kina ba mtu?
 
Uzi wa watu wa celebration we unaleta story zako za alfu lela ulela.

Unanikumbusha wifi yangu mmoja muhindi kwenye birthday za wengine lazima aanzishe kajiugomvi afokee watu.

Penda amani.
 
Sijakuelewa ulichoandika
Unasumbuliwa na mapenzi?
 
Muache asome kwanza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…