=*=*=*Happy Birthday King'asti=*=*=*

=*=*=*Happy Birthday King'asti=*=*=*

atakuwa yule jamaa wa kwenye kona basi.manake kama ni kimey ama odm nisingefika salama atii! sina imani nao hata chembe,lol!
nasubiria pipi zangu kutoka kwa kapipi
And you say you have stopped being nasty.. Sweetie nimemuuliza...

kasema kati ya Kimey or ODM... Or yule jamaa wa kwenye corner..
 
atakuwa yule jamaa wa kwenye kona basi.manake kama ni kimey ama odm nisingefika salama atii! sina imani nao hata chembe,lol!
nasubiria pipi zangu kutoka kwa kapipi


Lmao in blue.... Dah! Mimi hapo no comment... siitaki kununua case...

Kuhusu pipi usijali... ngoja jamaa arudi, zipo kwenye gari yake....
 
Hapo you have chakachuad my meaning... i meant love....lol... Stop being naughty...

Hahahahaaa!!
ngoja nimuulize birthday gal kama mimi ni naughty!!
na yeye akisema ndiyo!! najua vote yako na yeke ni sawa na vote zote za MMU!!!

hivi nafanya nini humu na uzee wangu huu!!! ngoja nirudi ibya!!
 
Hahahahaaa!!
ngoja nimuulize birthday gal kama mimi ni naughty!!
na yeye akisema ndiyo!! najua vote yako na yeke ni sawa na vote zote za MMU!!!

hivi nafanya nini humu na uzee wangu huu!!! ngoja nirudi ibya!!

Umetoa uamuzi mzuri... ila tu naomba ukiwasili Libya mwambie
Col kua pamoja na kusema kua kaweza contain mpaka leo... his
days are numbered - na ajitahidi kwa kila jinsi akwepe wasim-sadam Hussein....
 
hehehe, wifi kesi hii inakuhusu vilivyo! manake bila ww na shemeji mi nisingewajua wahalifu hawa,lol
kuhusu pipi, hizo wagawie watoto tu. mie na ww hatudhuriani

Lmao in blue.... Dah! Mimi hapo no comment... siitaki kununua case...

Kuhusu pipi usijali... ngoja jamaa arudi, zipo kwenye gari yake....
 
ooh, really? hii sasa kesi! bora uhamie libya. on contrary to what ashadii said, muambie gadaffi he is life president of libya. aendelee kuishi kwenye dream land till he dies! and i love his sungoggles,lol 😛eace:
Hahahahaaa!!
ngoja nimuulize birthday gal kama mimi ni naughty!!
na yeye akisema ndiyo!! najua vote yako na yeke ni sawa na vote zote za MMU!!!

hivi nafanya nini humu na uzee wangu huu!!! ngoja nirudi ibya!!
 
duhhh
haya mambo ya kuchukua holiday
haya saa nyingine mabaya sana yaani...
Nimepitwa na bday party ya kufa mtu duuhhh

nway King'aaast I need youu I love youu
ana ana anaaa doo .........

King'ast Happy Belated Birthday my dear
hopefully you had a great,
(full of fun) day.....


Happy Birthday King'ast .............
 
afrodenzi,
thanks my dear! u really missed out vya huku,ila si ulipata vya holiday. it was nice, nazidi kuusogelea uzee kwa mbwembwe

duhhh
haya mambo ya kuchukua holiday
haya saa nyingine mabaya sana yaani...
Nimepitwa na bday party ya kufa mtu duuhhh

nway King'aaast I need youu I love youu
ana ana anaaa doo .........

King'ast Happy Belated Birthday my dear
hopefully you had a great,
(full of fun) day.....


Happy Birthday King'ast .............
 
afrodenzi,
thanks my dear! u really missed out vya huku,ila si ulipata vya holiday. it was nice, nazidi kuusogelea uzee kwa mbwembwe

dahhhh
ningejua hii inakuja ningebania kidogo holiday
ni baki baki lolz..

Nway
hongera sana ..
uzee huko ndo kutamu naskia..
miezi michache tu tutaungana nyanda hizo
za wataalum wana wama busara na maringo
ya kupigana na maisha lakini bado una dunda..
Hongera sana my dear

lakini bado saaaaaanaa kuota mvi na
kuotewa na ile mabonde usoni ..
ndo maana waitwa King'ast ..
ongeza maika bila kuuzeka
.......... .......... ..........
 
atakuwa yule jamaa wa kwenye kona basi.manake kama ni kimey ama odm nisingefika salama atii! sina imani nao hata chembe,lol!
nasubiria pipi zangu kutoka kwa kapipi
Hivi nachosoma ndo kilichoandikwa au macho yangu yananidanganya? Inauma sana aisee..... This is very unfair....ODM amesikitika sana, ODM amefadhaika sana......ODM is sad and unhappy.... But his love is still there....won't change.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom