Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Inaua??Mimi siwezi kumnunulia mtu sumu![]()
Inaua??Mimi siwezi kumnunulia mtu sumu![]()
Wewe nawe, ki front front yote ile mi nikajua ndo mkamua maziwa, kumbe ni mshika pembe, naona muli edit hadi mka delete kabisa😂😂😂😂kaaazi kweli kweli.Duh, mwaka kesho inabidi nifanye mchakato ili nipate wa kuniandikia Happy Birthday humu ndani.
Unashinda na njaa ww..Bora uendelee kutafuna tuNdio ugonjwa wetu huo.... dah ngoja mwezi uishe...
Nimefika wifi. Si nikasahau siku ya bby wangu jamaniLe wifiiii hatimae umefika
Huu ni uchochezi mkuu...tehNgeli inatembea mzee
Si ukamsaidie jamaa pale white house
Anateseka sana
Birth day anasema bath day
Ohhh..Ahsante na hongeraHapana tumeshashona sare karibu cha mtume



Hakuna ubaya kama ukisherheshwa kuliko kujisherhesha, na ninakuhisi tu usikubali kukata keki na kuwalisha wanaume wenzio....tehShukran sana mkuu...
Hivi ni sawa kweli kwa sisi wanaume wa mikoani kusherekea hii siku?
Wa dar tuwaache kwanza
Hahaha haitanogaHahaha ntaleta wa kilugha changu tu hamna namna
Hicho ni kigezo nambari uno kabisaHahaha hahahahahaha kama hana mwambie akatafute haraka
Hahaha haitanoga
Fursaa...pamoja mkuuUpo single??...Hbd kwa rafiki