Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
hazard cfc happy birthday kwako mkuu.
Hahaha huyo mdogo wangu kabisaHappy birthday to him,,,
Ndo shemeji yetu? Maana inaanzaga hivi hivi
Hahaha hahahahahaha umeanza uchokozi nani sasa kakutuma uitaje ccm hapaAsante mwanachama mwenzangu wa yanga na ccm kindakindaki
nilikua nishaisahau kabisa hii siku, asante kwa kunikumbusha nakuikumbuka pia,mimi nipo bize nasaula wachezaji huku rwanda na burundi![]()
Karibu mkuu sema bday yako lini nikuandikie....
Huwaga sina hiyana mie jamani
Pamoja kiongoziHappy birthday to hazard...
Binti mbichi mwenye guu lake!
Hahaha huyo mdogo wangu kabisa
We ni ke kumbe
Nlkua nakuogopa sana
Ndio ugonjwa wetu huo.... dah ngoja mwezi uishe...
Vipi mbna wanchekaHahahaha duh
Hivi unatakiwa niitikie je?Happy birthday to you rafiki yake Zesh

Hahaha huyo mdogo wangu kabisa
Nimeacha pombe..siku hizi nakunywa k vant tuMnunulieni bia rafiki yangu... Yupo vizuri kwenye hiyo sekta
Vipi mbna wancheka
Nawe piaHivi unatakiwa niitikie je?![]()
Acha tu !Ulikuwa unaogopa nini?