Happy birthday Edward Lowassa


nakupenda Rais wetu nakupenda mtu wetu wa mabadiliko ya ukweli
 
ulipo tupo tupo nawewe katika furaha hii mungu akupe kila lakheri mr RAIS
 
happy birthday the upcoming president of Tanzania. Mungu akulinde na kukutunza. watanzania wanakupenda sana na tunasubiri kwa hamu matokeo ya ushindi wako.
 

Attachments

  • EDDO 2.jpg
    7.2 KB · Views: 288
Unayesumbuliwa na maradhi ni wewe. Kwani wewe hujioni. Hebu cheki picha yako, utafikiri libibi la miaka sabini. Mama mzima lakini hovyo. Shame on you!!!

Nnaona yamekuingia, rudia...

Mbona anaokena ni mzee sana? Kumbe ni wa 1953 tu?

Anasumbuliwa na maradhi gani yanayomfanya aonekane kama mtu wa miaka 90?
 
Comrade, It Is Your Birth Day You Remember That? On 26 of August Of 1953 for the first time you saw the wonders of this planet, i salute you my president!
 
Happy birthday comrade..keeping going on future president.. we prayn for the dream to become true
 
Nnaona yamekuingia, rudia...

Mbona anaokena ni mzee sana? Kumbe ni wa 1953 tu?

Anasumbuliwa na maradhi gani yanayomfanya aonekane kama mtu wa miaka 90?

We Faiza Ajuza mbona wewe MAKU yako imezungukwa na MVI lakini mimi sijali naendelea kukugegeda?.Anyway HAPPY BIRTHDAY TO OUR BELOVED PRESIDENT
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…