Happy Birthday Davet[emoji847]

Hahah nimeona kuna sehemu umekuja kuniswaga kabisa.......... Nilipata dharula kidogo ndio maana sikuwa kwa wakati
Aaaahhh basi sawa, hakijaalibika kitu mtalaam!!

Siku nyingine haabr kam izi njema uwe Nazo active.

Mie sijawahi wishiwa na mdada wa JF km ww ivi
 
Hahah! Sawa boss ila ipo siku uitawishiwa tu ni swala la muda
Izi zakufos zinakosaga mzuka.

Raha nikama hiiyako...Kwanza umekumbukwa na
Mdada kama anavyojiita Ledada, anaonekana nilidada bonge ivi, litamuuu. Limejaa jaa, linadeka yaaan uwii


mpaka inatia hamasa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom