Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,370
- 205,760
Asante sana mkuuHappy birthday mkuu
Asante sana mkuuHappy birthday mkuu
Family memberHappy BdaY Davet!
Asante BLHappy birthday
Asante mkuuHappy birthday davet
Asante Rey ila tumepotezana sanaHbd day davet!!!
Hahahah sikufichwa bhana, nyie simliniambia nirudishe simu ya watuDaah aliyemficha davet shuuaiin zake mpaka keki yangu hapo inaanza yeyuka. Hawa a u mjukuu wangu in andjul's voice
Hahahah! Amu hapi tu sii yu hiya broUzinduzi part II.
HBD Bro. Mungu Aendelee kukubariki wewe, wapendwa wako pamoja na ukoo wenu wote. Heshima ya ukoo lazima iwepo. Congrats bro
Ilifika muda muda muafaka Lesister alinileteaTatizo mhusika kaingia mitini daah hope atajitokeza kabla haijaeksipaya
........ Mixer Hashtag daahKawaida yake hiyo. Unafikiri kuzinduliwa mchezo? Inabidi uwe na roho ngumu espeshale kama ulikuwa umefanya daivesifikesheni ofu yua investimentisi (ifu yu no whataimini). Atarudi tu na maneno kibao
#BringBackBaeWaUzi#
Hahahah sikufichwa bhana, nyie simliniambia nirudishe simu ya watu
Hahaha sawa tu mkuu nitapokea na kushukuru piaMkuu, naomba nikuletee nepi....
Ilifika muda muda muafaka Lesister aliniletea
Mia miaShukrani sana mkuu, muumba atuongezee wote ili tuendelee kuwa pamoja
Aaah kumbe uliirudisha aisee nimekosa uhondo nilishaajiri bwana hacker aje apekue tupate picha kamili ya mhusika
bhana eeeeehKeki nyingine hii davetView attachment 967760
Hahahah eti BoltHussein bolt wetu yule hawez rudi mpaka mwezi ujao tushasahau kila kitu ndo tutamuona kule home sweet home
Ninge na Carb walinishikia bango kuhusu ile Beaut plus nikaona isiwe taba wacha nirudi kwenye kitochi changu
Ungeona sura sasa kama nimepaka poda au mayaicamera gani ile ilipoteza hata uhalisia wa jeans bora umeirudisha