Kawaida yake hiyo. Unafikiri kuzinduliwa mchezo? Inabidi uwe na roho ngumu espeshale kama ulikuwa umefanya daivesifikesheni ofu yua investimentisi (ifu yu no whataimini). Atarudi tu na maneno kibao
#BringBackBaeWaUzi#
Ha ha haDaah aliyemficha davet shuuaiin zake mpaka keki yangu hapo inaanza yeyuka. Hawa a u mjukuu wangu in andjul's voice
Ha ha ha ha duhKawaida yake hiyo. Unafikiri kuzinduliwa mchezo? Inabidi uwe na roho ngumu espeshale kama ulikuwa umefanya daivesifikesheni ofu yua investimentisi (ifu yu no whataimini). Atarudi tu na maneno kibao
#BringBackBaeWaUzi#
Aiseee mkuu, uishi Miaka 93 !! .
Upate watoto 4.
Wajukuu 18
Vitukuu 9.
Vinyanya 2
Mkiambiwa mzae sana, mnaona ohooooo !! Ona sasa !!!
Mpaka unasepa una uzao wa watu 33
Nipo mzee sana tuu mbn nipo sanaaWe jamaa nljua umekufa daaah
Nkawa nawasiliana na jf nije kutoa ramb ramb
Kwanza nitangulize samahani kwa kukawia kutoa shukrani zangu juu ya hili jambo ulilofanya, umenishtukiza sana pia nimefurahi sanaaaaaaaaa.......Japo umechelewa kusema ila sio mbaya hata sasa hivi. Katika watu ninao shukuru kuwafahamu ni wewe, rafiki yangu kipenzi. Nakuchuniaga ila huninunii hata nashukuru kwa hilo kipenzi and your always there kila ninapokuhitaji ahsante.
Mwenyezi Mungu akubariki,akupe maisha marefu na mazuri. Nakupenda sana
Happy Birthday once again Babe. Have a blast.
Davet
Shukrani sana mkuu, muumba atuongezee wote ili tuendelee kuwa pamojaKheri ya kuzaliwa mkuu aliye juu akuongezee miaka kadhaa uendelee kupiga matonge
thank you Kim, nafurahi kukuonaHappy birthday 🎂🎂
Asante sana Inna ubarikiweHappy birthday davet😻
Hahahah! asante sana mkuu wa kazi ubarikiweAiseee mkuu, uishi Miaka 93 !! .
Upate watoto 4.
Wajukuu 18
Vitukuu 9.
Vinyanya 2
Mkiambiwa mzae sana, mnaona ohooooo !! Ona sasa !!!
Mpaka unasepa una uzao wa watu 33
MremboView attachment 966387Happy birthday davet
Nafurahi kukuona shem wake, asante sanaaaaaaaaaaa
Thanks thanks mkuuHappy Birthday