ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 15,452
- 58,445
Japo umechelewa kusema ila sio mbaya hata sasa hivi. Katika watu ninao shukuru kuwafahamu ni wewe, rafiki yangu kipenzi. Nakuchuniaga ila huninunii hata nashukuru kwa hilo kipenzi and your always there kila ninapokuhitaji ahsante.
Mwenyezi Mungu akubariki,akupe maisha marefu na mazuri. Nakupenda sana
Happy Birthday once again Babe. Have a blast.
Davet
Mwenyezi Mungu akubariki,akupe maisha marefu na mazuri. Nakupenda sana
Happy Birthday once again Babe. Have a blast.
Davet