mmm sina usemi mie! nikutakie mapumziko mema! na safari njema ukirudi Lokolombe!
ulikuwa unanishtukia kwa lipi?
uniwie radhi lakini....ila ninahisi kama una husiana na id nyingine ambayo kwa sasa iko dormant! niwie radhi sana na pengine hisia zangu ni potofu!
nimekuwia radhi..
kumbe hilo tu? mi nilidhani umenishtukia
kama nataka kukuseduce..hahahaa..soso will kill a person
kuniseduse huwezi as baby wako shansarie atatia kitanzi mtu na soso atata kilema mtu!!!
yani nchini chitchat kuna ubabe............
wapi dear anapendaga kunichokoza tu anajua inavyoniumaga ila nishamzoea lahazizi wangu
napendeza wapi wakati anajua kabisa nikinua chakula hapati
hahahaaa,kumbe hua anakosa msosi
pole yake mweeh
tatizo ni kile chakula kitamu..
mweee ngoja niwe mpole..
hahahaaaaa!!pole we
kumbe hua unapewa adhabu kali kihivyo!!
big up kwa wifi yngu ili usimzingue!!
mi ni mpishi niliebobeabest yangu hivi wewe hujui kupika?
mi ni mpishi niliebobea
hata ukiwa na shughuli yako nipe tenda
uone mavitu yangu kwny secta!!
kwa hiyo siku nikinyimwa huku nikimbilie kwako fasta!!
Nitashukuruje? :mwaaah::mwaaah:
aaakha mi staki kesi babu
naogopa minundu mie!!
kwani hapo juu umeniambiaje?
but remember ur my friend for better and for worse..
na ukienda kula huko kwangu usirudi tena sitaki shombo