Happy birthday darling

Happy birthday darling

sema huwa nikikuona nasema yale ya kweli...

Mh...hivi huwa mnafundishana hizi lugha jamani? Nikisoma haya maneno yananikumbusha nilipokuwa narushwa roho na Filipo ... Ila nilikuja kugundua ni kauli tu hazina effects zozote... shansarie tuliza moyo wako mie naongea kutokana na experience. .
 
Last edited by a moderator:
Hahah hayo maneno wala hayana tatizo...
Ila bibiye amu ana aleji nayo...akiona hiyo maneno basi moyo wake wamwenda mbio wivu kilo 200.

kuna tatizo na hayo maneno mkuu..
aisee huyu mpenzi wangu huwa anaiita zaidi ya hayo...
 
Last edited by a moderator:
Hahah hayo maneno wala hayana tatizo...
Ila bibiye amu ana aleji nayo...akiona hiyo maneno basi moyo wake wamwenda mbio wivu kilo 200.

nilimsoma jana sema mi nilijua wewe ndiyo unampeleka res na tukutuku yako...
 
Mh...hivi huwa mnafundishana hizi lugha jamani? Nikisoma haya maneno yananikumbusha nilipokuwa narushwa roho na Filipo ... Ila nilikuja kugundua ni kauli tu hazina effects zozote... shansarie tuliza moyo wako mie naongea kutokana na experience. .

asante kwa kunipa moyo maana inauma sana acha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom