johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,790
Ni miaka 44 ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania.
Hongereni kwa uvumilivu wa kuruhusu uwepo wa vyama vya upinzani japokuwa ni 20% tu ya wananchi ndio walivihitaji.
Hongereni kwa kutuletea elimu bila malipo
Hongereni kwa miundombinu iliyotukuka
Maendeleo hayana vyama!
Hongereni kwa uvumilivu wa kuruhusu uwepo wa vyama vya upinzani japokuwa ni 20% tu ya wananchi ndio walivihitaji.
Hongereni kwa kutuletea elimu bila malipo
Hongereni kwa miundombinu iliyotukuka
Maendeleo hayana vyama!