Happy Birthday CCM!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,853
141,790
Ni miaka 44 ya kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania.

Hongereni kwa uvumilivu wa kuruhusu uwepo wa vyama vya upinzani japokuwa ni 20% tu ya wananchi ndio walivihitaji.

Hongereni kwa kutuletea elimu bila malipo

Hongereni kwa miundombinu iliyotukuka

Maendeleo hayana vyama!
 
😄😄😄
5390066.jpeg
 
Back
Top Bottom