NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
hivi ni nani yule alikuwa mstari wa mbele kudai katiba mpya alivyochaguliwa tu kuwa katibu wa chama flani amenyamaza kimya nikumbusheni.An empty stomach is not a good political advisorNi kweli ndugu yangu. Acheni kututajia hii presha inayoitwa CCM. Ni shida jamani. Kwani hamuoni? Hata kama hamjui kusoma, hata picha inawashinda kutafsiri? CCM ni shida. Mtu hata awe mzuri kiasi gani akiingia tu CCM anakuwa Ibilisi. Hamuyasikii ya Silinde?