Happy Birthday bestito Mentor

Happy Birthday bestito Mentor

Invisible kama umenielewa naomba urudishe huu uzi kule MMU sio wa huku nilivyoweka kule nilikuwa na maana yangu
kwaniini mnapenda kumuvuzisha tredi zangu kiasi hichi kwani mm sifai kuweka uzi kule mbona wengine hamuwamuvuizishi
pls pls naomba mrudishe kule huu uzi

Acha kulialia kama mjane aliyefiwa na mwanae....

Thread zote za birthdays zinatupwa huku Chit Chat....

Au kwa kuwa umeuanzisha wewe nyumba ndogo ya Mod?
 
Moderator wa jukwaa hili naomba huu uzi upelewekwe kwenye jukwaa la chit chat maana kama birthday ya huyo mentor wao iliisha jana sijona sababu yakuendelea kubaki hapa huu uzi.
 
Last edited by a moderator:
Taratibu mkuu muache jamaa asherekee kama vipi pita tu.
Moderator wa jukwaa hili naomba huu uzi upelewekwe kwenye jukwaa la chit chat maana kama birthday ya huyo mentor wao iliisha jana sijona sababu yakuendelea kubaki hapa huu uzi.
 
Last edited by a moderator:
aliyekwambia nalia nani au ushomondi wako umekwambia?

na ulikuwa hujui kuwa mm ndo mama mkubwa wa mods ndo ujue basi
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Acha kulialia kama mjane aliyefiwa na mwanae....

Thread zote za birthdays zinatupwa huku Chit Chat....

Au kwa kuwa umeuanzisha wewe nyumba ndogo ya Mod?
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
usilolijua ni usiku wa kiza kinene

yatakushinda babu kudandia treni kwa mbele

wewe kaushia kwani haya ya vijana yahakuhusu utachubuka bure ukidhani togwa yako
hehehehehehehehehehehehehheheiyaaaaa

ushafikikia mwana unaloooooooo hahahahehehehehehiya
Waeza kuta hata Mentor hajamtuma na wala hakupenda huu mchuchu umrushe huku.

Kiherehere @ work
 
achana naye huyo yashamshinda ya mussolin hayatayeweza ya kijanvi

heeheheheheheheehiya

anataka makuu na wakati hata sandukuni hajai hahahahahahahha mshakunaku huyo babu
hahaha babu kausha bhana
 
kwani ana masalia wake utawajua watu wanaochonga sana kama funguo
bro Mentor ana mchuchu wake
mwenye uzuri wote na tabia acceptable!!
mwenye upole wote na
mwenye unyenyekevu wote..
.. mwallu huyu huyu!!
ndiye halisi kwake,

happy birthday mnama!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom