Happy bday my mwekundu

Happy bday my mwekundu

Hapo nimesalute mwenzangu, kwanza huyo ana stress na hasira na hii jinsia akinikamata si nitaokotwa muhimbili!!

Jamani atoto mbona sina bifu na nyie aisee...mi napenda tu uwazi siku hizi...unataka nini na mimi nataka nini! maisha ni very simple kuliko kudanganyana don't you think mamii!???

Katika habari nyingine: kam zis wei tuongelee 'ishu' flani hivi niliona ukiidiskasi mahali!
 
Last edited by a moderator:
Jamani atoto mbona sina bifu na nyie aisee...mi napenda tu uwazi siku hizi...unataka nini na mimi nataka nini! maisha ni very simple kuliko kudanganyana don't you think mamii!???

Katika habari nyingine: kam zis wei tuongelee 'ishu' flani hivi niliona ukiidiskasi mahali!

Hahahaaaa!! Hmna bwana, wewe sijui tulikufanya nini yaani? Huyo mtu inabidi atafutwe atoe maelezo, aseme kwanini alituharibia ndugu yetu.

Ishu gan hiyo?
 
Last edited by a moderator:
best sawa tuu japo yy anasema hana bifu na hii jinsia nataka ale na yye utamu ila ndo anaogopeka ....fanya uchunguzi uniletee aliyemuumiza huyu kijana
Mie nimeshindwa mama.
 
best sawa tuu japo yy anasema hana bifu na hii jinsia nataka ale na yye utamu ila ndo anaogopeka ....fanya uchunguzi uniletee aliyemuumiza huyu kijana

Itabidi tumsake kwa udi na uvumba, haiwezekani kabisa tuiache hii hali hivi hivi.
 
ha ha ha ha kadi yako alipewa mtu akuletee ngoja nimcheki cos aliandoka na Kaizer
ssssssh taratibu hii ndoa muda wowote utaitwa kuibarki cos tushajifungisha mwenyew jana siku baada ya kurudishwa kadi ya ubazazi mahaba niue mwekundu....ila Mokoyo usimwabie

ah.. shem bana!!
btw some changes are inevitable...
 
Last edited by a moderator:
happy birthday to uuuuuuuuu toooo nimepatia hii english?

Siku hizi nimeacha kusherekea birthday yangu, naipita kama nimesahau, si unajua mtoto wa kike mwisho kusherehekea ni 23 years baada ya hapo unajikausha afu unagandisha miaka...
yani dizaini unaanza kutumia kalenda za kiethiopia...
 
Siku hizi nimeacha kusherekea birthday yangu, naipita kama nimesahau, si unajua mtoto wa kike mwisho kusherehekea ni 23 years baada ya hapo unajikausha afu unagandisha miaka...
yani dizaini unaanza kutumia kalenda za kiethiopia...

ha ha ha...
kumbe wewe ni mkorofi hivi?
 
Siku hizi nimeacha kusherekea birthday yangu, naipita kama nimesahau, si unajua mtoto wa kike mwisho kusherehekea ni 23 years baada ya hapo unajikausha afu unagandisha miaka...
yani dizaini unaanza kutumia kalenda za kiethiopia...
ha ha ha kila ukiulizwa how old are you unasema 22 ?LMAO
 
Hahahaaaa!! Hmna bwana, wewe sijui tulikufanya nini yaani? Huyo mtu inabidi atafutwe atoe maelezo, aseme kwanini alituharibia ndugu yetu.

Ishu gan hiyo?

inbox.jpg
Njoo huku! Nitakuambia na aliyeniumiza....

Cc: ICHANA
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom