Happy bday my mwekundu

Happy bday my mwekundu

unataka tukufahamu mbona kazi ndogo tuma picha yako na mali unazomiliki hapo utakuwa free kuwaona wengine na kuwafahamu

Hahaaaaa!! Hapo pa mali nimepapenda.
 
Stoo kabisa? ngachoka kabisa..... Ila dawa yako iko jikoni ila haichemki bado.

ha ha umechoka kabla ya kunipa dawa bhasi tena ......hiyo dawa itakuwa ya kichina kama ipo jikoni ila haichemki tafuta kitu orijino cha mjeruman
 
nakuaminia naona atoto anasema wewe huwezi mim nasema fnya kweli ne nyt stand kama laliga sio mechi za kombe la mbuzi heshima iwepo

Anaruka ruka tu ila ndo ivo kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwakw😀
 
Last edited by a moderator:
Heri ya maadhimisho ya kuzaliwa kwako mwekundu

Ujumbe: Kubali mabadiliko na kataa utumwa ndani ya nchi yako
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha.......wewe unayo nguvu bana.......achana na wale kule longolongo mingi tu...........
atoto ana wivu balaa yaani apa ananikinga na maadui zake akiamini hawathubutu kunigusa tena....hahahhahahaa
 
Last edited by a moderator:
animated-happy-birthday.jpg
 
Ni miaka kadhaa siku kama ya leo nderemo za furaha kwa mama na baba mwekundu kumzaa mtto wao kipenz

am happy and u know that mwekundu ,wish u happy bday my love
A%20S%208.gif

I always pray all your birthday dreams and wishes come true.

May your birthday be filled with sunshine, smiles, laughter, love, lowers and cheer.

mwekundu you have to know that You’re older today than yesterday but younger than tomorrow,

lets celebrate my dia friend mpambe wa mtoto leo mashaxiso(ila usinywe maziwa ya mtoto teh teh )mashemeji Kaizer babu Asprin , best yagu Tized

shost zangu vallentina uje na mumeo Nyani Ngabu charty miss chagga uje na Mr Rocky ha ha ha Honey Faith atoto na wengine wote mnakaribishwa sherehe hii ipo open space kiingilio miguu yako

mabazazi zake mwekundu mje mpole mpole ha ha ha kwa maana leo anarudisha kadi ya bazazi

ni furaha yetu tusikie lenu neno kwa huyu mtoto aliayeacha ubazazi Watu8 , BAK Excel Ruttashobolwa Eiyer Eli79
Mokoyo nakuombea uendlee na kampani zako na huu uzi uone Kama jukwaa la mpinzani wako

Nimekosa mwaliko aisee...
Happy birthday mwekundu...
ndoa yako na ICHANA mliifunga wapi?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom