mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,023
yup yup ankal
Happy birthday mwekundu
asante sana hivi kaka amesafiri ng'ambo?
yup yup ankal
Happy birthday mwekundu
asante sana hivi kaka amesafiri ng'ambo?
kumbe ushajua u mzee japo Kaizer haamini.....wewe sio bazaz kama wao nani kakuambia uwiiiii eti mtamu yaan wewe ............Mkuu ukute labda na yeye anakuweka kwenye kundi letu la wazee
Kiongozi, nipo kwenye kundi lenu lakini mie sio bazazi kama nyie... afu mie mtamu, muulize atoto ana majibu..
nipo mkuu .. natumaini upo okeyMpenzi upo??? Yaani nilikumisi sana mumy! Namshukuru Mungu upo vema!
uje na kale kazawadi kangu kama sio bhasi ntakupa mifupa tuu kwenye chakula ha ha ha
ha hha ha atazeeka tuu kwa maana anataka kuoa gegedo kwichi kwichi lazima azeeke