wapo..japo wachache..huyu namtania tu..najua hana itikadi hizo..niliwahi kumshawishi tutengeneze kitabu tupige pesa akagoma
Shukran Jazzira.Unahitaji vitu 3 uwe happy. Navyo ni wealth, health and love.
But you may have them yet you become unhappy at one time or another. This is because our happiness is also detrmined by things we are attached to. Example. If your spouse kicks you out you become unhappy, if your son or doughter get sick or suffer from anything negative you became unhappy. If your favourite car is involved in an accident you become unhappy , even your favorite team gets defeated you end up unhappy.
All in all they are simply temporary. Your wealth, health and love brings you back to happiness.
Nadhani #invisible , #moderator na mods wengine kuna watu kutokana na michango yao wanahitaji ANGALAU wawe recoginze kwa angalau hata ID zao ziwe na rangi fulani tofauti na members wengine. Huyu gorgeousmimi nadhani amekua na mchango wa kipekee sana (japo wengine kama #mzizimkavu etc wapo). Anajitahidi sana kutupa michango chanya.
Thread nzuri sana. Keep it up #gorgeousmimi .
NB: i am not promoting anyone here. I have zero interest to whoever mentioned here!
hahahaa hapo kwenye red .....hivi hauamini kama kuna wanawake hawana utumwa wa pesa....? kama ukiwa mpenda pesa unakuwa mtumwa...unafanyishwa vitu ambavyo hata mnyama hawezi fanya ila sababu unapenda pesa unavumilia tu....sasa ukishajitambua katika hili....mashetani ya pesa hayawezi kukupanda kamwe......