Kitendo tu cha kuzomea ni dalili tosha ya ukosefu wa ustaarabu wa msingi! Jamani hili kundi lenye watu wa aina hii linatakiwa lifanyiwe uchunguzi wa vinasaba kuhakikisha uasilia wao maana hii siyo Asili ya watanzania na wala siyo Asili ya binadamu walio wastaarabu na wanaoelewa kuwa siasa ni siasa tu lakini kuna heshima ya utu na utaifa. Mimi nashangaa kabisa tutapata watawala gani ngazi zote za jamii watakaotokana na watu wenye hulka hii? Dawa yao piga chini tu 25 oct waende jandoni kwanza wakajifunze heshima. Mwanaume heshima bwana