Happening now: CCM wazomewa Dar

Happening now: CCM wazomewa Dar

Mmeamua kuwaharasse watu mnaotofautiana nao kiitikadi kwa matendo yote mabaya lakini hiyo haitawasaidia ..mwaka huu mmekwisha na hiyo inachochea hasira za ndani, tutawapiga 90%

Labda mtapiga 90% kwenye dili la escrow
 
Muda huo kijana angali leo kariakoo palikwa hakuna shamra shamra zozote zile za kisiasa wacha kupotosha umma kijana punguzeni kupaniki ukawa
 
Muda huo kijana angali leo kariakoo palikwa hakuna shamra shamra zozote zile za kisiasa wacha kupotosha umma kijana punguzeni kupaniki ukawa
Naona umejisaidia dogo alafu hujacha. ...mba
 
Kitendo tu cha kuzomea ni dalili tosha ya ukosefu wa ustaarabu wa msingi! Jamani hili kundi lenye watu wa aina hii linatakiwa lifanyiwe uchunguzi wa vinasaba kuhakikisha uasilia wao maana hii siyo Asili ya watanzania na wala siyo Asili ya binadamu walio wastaarabu na wanaoelewa kuwa siasa ni siasa tu lakini kuna heshima ya utu na utaifa. Mimi nashangaa kabisa tutapata watawala gani ngazi zote za jamii watakaotokana na watu wenye hulka hii? Dawa yao piga chini tu 25 oct waende jandoni kwanza wakajifunze heshima. Mwanaume heshima bwana
 
Lakini waacheni tu waendelee kuzomea ili wenye busara waendelee kujichuja na kuhamia kwenye kundi la wastaarabu.
 
huo ni umaskini wa hoja maana tatizo sio kuwazomea wafuas wa ccm kwani sisi adui yetu mkubwa ni ujinga,maradhi na umaskini sio ccm wala ukawa kwa hiyo kama na wewe ulikuwa miongoni mwao basi na wew ni mjinga pia
mimi nitamchagua muadilifu haijalishi anatoka chama gani naye ni Dkt Magufuli
 
Asante Sana Mkuu Kwa Kurealize Something Important.Watu Wanakesha Kkoo,halafu Kuna Mtu Anasimama Jukwaani Anasema Serikali Haijafanya Chochote,jamani Hata Hii Amani Inayofanya Watu Wanakesha,wauza Kahawa Usiku Mzima Wanakesha Nalo Hili Hawalioni??

duh unatia huruma ilivyotetea hiyo hoja ila hakuna jinsi tena ni lazima muondoke
VIVA UKAWA!!!
 
huo ni umaskini wa hoja maana tatizo sio kuwazomea wafuas wa ccm kwani sisi adui yetu mkubwa ni ujinga,maradhi na umaskini sio ccm wala ukawa kwa hiyo kama na wewe ulikuwa miongoni mwao basi na wew ni mjinga pia
mimi nitamchagua muadilifu haijalishi anatoka chama gani naye ni Dkt Magufuli

Pole umepotea
 
mimi nadhani badala ya kuzome wangejikita kuomba kura na kuachana na ujinga huo halafu please tutumie video yake maana hatuwez amini kizembe hivyo
 
Lakini waacheni tu waendelee kuzomea ili wenye busara waendelee kujichuja na kuhamia kwenye kundi la wastaarabu.

teh teh endelea kuota huku unatembea chama kinaisha alafu unasema busara? man u cant be serious people are fed up and this time is for GOOD
R.I.P CCM
VIVA UKAWA!!!
 
Happening Now, Mwigulu azomewa sana baada ya kuwaita wafuasi wa CDM 'Manyumbu' hapa karatu, kilichotokea hatakisahau katika maisha yake, Ilibidi aondoke na chopa yake,,,,.... Baada ya kuwaita wananchi manyumbu watu tuliamua kuondoka huku tukionyesha Ishara ya mabadiliko...

Note; hapa ndipo kwa Dr Slaa lakini alipuuzwa sana baada ya kununulika..

teh teh habari kana hizi huwa nazipenda kuziskia sana yani
VIVA UKAWA!!!
 
Kwa kuwa mnapanga uovu zaidi kwa wananchi wa Tanzania,hakika Mungu atawaadhibu.MENE,MENE,TEKELI NA PERESI.
Na mtakoma sana baada ya uchaguzi. Bahati nzuri wafuasi wa CCM ni wastaarabu sana. Wanawaangalia tu mnavyopiga mayowe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom