Happening now: CCM wazomewa Dar

Happening now: CCM wazomewa Dar

Kwa kuwa mnapanga uovu dhidi ya wananchi wa Tanzania,hakika Mungu atawaadhibu.Mungu sio dhalimu kiasi hicho.MENE,MENE,TEKELI,NA PERESI(Dan.5:26)
Na mtakoma sana baada ya uchaguzi. Bahati nzuri wafuasi wa CCM ni wastaarabu sana. Wanawaangalia tu mnavyopiga mayowe
 
duh unatia huruma ilivyotetea hiyo hoja ila hakuna jinsi tena ni lazima muondoke
VIVA UKAWA!!!

Asante Mkuu,kwakunionea Huruma Hata Mimi Nakuonea Huruma Kwa Kuundermine Even This Peace We Have
 
Mmeamua kuwaharasse watu mnaotofautiana nao kiitikadi kwa matendo yote mabaya lakini hiyo haitawasaidia ..mwaka huu mmekwisha na hiyo inachochea hasira za ndani, tutawapiga 90%

Hao ni wananchi sio ukawa, mtu akikaa karibu na dampo haambiwi kuziba pua, msiwasingizie viongozi. Lowassa wa watu yupo kimyaaa, hakuna hata tusi moja kinywani mwake peeplees
 
Hakika. Fisadi siku ya uchaguzi atajiharishia sana

...hahahaaa mkuu wa wilaya unavyojitutumua kulinda kitumbua kisiingie mchanga,Lowassa anasubiri siku chache kuingia ikulu itabidi ununue jembe mapema ukalime.
Habari ya kufua nguo sijui za nani upewe cheo hazitakuwepo tena.!
 
Mtaa wa Kongo muda huu?
Kwani Kariakoo kuna muda inakosa watu? Hata hivyo mleta mada hajakuambia kuwa alikuwa anaripoti live event, kuna uwezekano muda fulani ulikuwa umepita
 
Mi kwa mtazamo wangu. Ukiona mtu anamzomea mpita njia alievaa jezi au sale za chama fulani basi ujue upeo wake wa siasa ni mdogo na ndio ulipoishia apo
 
...hahahaaa mkuu wa wilaya unavyojitutumua kulinda kitumbua kisiingie mchanga,Lowassa anasubiri siku chache kuingia ikulu itabidi ununue jembe mapema ukalime.
Habari ya kufua nguo sijui za nani upewe cheo hazitakuwepo tena.!

Unajifanya hulijui jembe?wakati ndo limekukuza acha dharau kwa wakulima!
 
Tunahitaji upinzani waingie ikulu ili tuchunguze ile mikataba ya gesi tukiwa na ccm itakuwa ngumu
 
Mmeamua kuwaharasse watu mnaotofautiana nao kiitikadi kwa matendo yote mabaya lakini hiyo haitawasaidia ..mwaka huu mmekwisha na hiyo inachochea hasira za ndani, tutawapiga 90%
Mkuki kwa Nguruwe? Ukijaribu tu kufanya hata kautafiti kautani hapo
K/koo unawekwa ndani, Manyanyaso ya Mgambo na mengi mengineyo
ndiyo yanayowapelekea watu kushindwa kujizuia na kuamua kuzomea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom