Hapoooo Sasa!!!

Hapoooo Sasa!!!

Dena Amsi

R I P
Joined
Aug 17, 2010
Posts
13,080
Reaction score
4,276
Duhh!! ni soo!!

mke wa Frank anajivunia mume mtulivu, hashindi baa na hatongozi
videmu. Akitoka kazini huenda kucheza basketball na hurudi nyakati za
dinner. Siku moja mkewe akamhurumia. Anachoka na kazi. Mtu gani
asiyependa starehe japo kidogo? Mke akamlazimisha outing, Frank
akabisha lakini taxi ikafika. Gonga Club & Lodge.

Walipofika mlangoni tu, mlinzi akaita, “Mambo Frank!” “Poa”
“Nilidhani huwa huji club, inakuwaje mlinzi anakufahamu?” mke akauliza
“Yule mgambo, mchana analinda ofisini kwetu, usiku anapiga part time
hapa” akajibu Frank

Wakachagua meza. Kukaa tu tayari mhudumu ameshaleta castle lager.
Akamuuliza mama anakunywa nini. Mhudumu alipoondoka mama akauliza,
“amejuaje unakunywa castle kama hakufahamu?”

Wakati Frank anajikanyaga aanze vipi kujitetea, mhudumu wa vyumba
akawa amefika na kuuliza.
“Mkuu kama kawaida nimekuandalia namba tano, nendeni tu vinywaji
nitawaletea huko huko”

Kufikia hapo mama akawa hana simile tena, akanyanyuka akitukana kama
chizi. Akatoka nje mbio na kuingia katika taxi iliyokuwepo pale.
Wakati anapatana bei na dereva, Frank naye akaingia. Mama
yakamporomoka matusi kibao na kilio juu. Alipovuta kamasi na kupiga
kwikwi akamsikia dereve anasema.

“Duh, eee bwana Frank huyu malaya uliyeokota leo balaaaaaaaaaaaaaaa!”

Mamaa akazimiaaaazzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
Duhh!! ni soo!!

mke wa Frank anajivunia mume mtulivu, hashindi baa na hatongozi
videmu. Akitoka kazini huenda kucheza basketball na hurudi nyakati za
dinner. Siku moja mkewe akamhurumia. Anachoka na kazi. Mtu gani
asiyependa starehe japo kidogo? Mke akamlazimisha outing, Frank
akabisha lakini taxi ikafika. Gonga Club & Lodge.

Walipofika mlangoni tu, mlinzi akaita, "Mambo Frank!" "Poa"
"Nilidhani huwa huji club, inakuwaje mlinzi anakufahamu?" mke akauliza
"Yule mgambo, mchana analinda ofisini kwetu, usiku anapiga part time
hapa" akajibu Frank

Wakachagua meza. Kukaa tu tayari mhudumu ameshaleta castle lager.
Akamuuliza mama anakunywa nini. Mhudumu alipoondoka mama akauliza,
"amejuaje unakunywa castle kama hakufahamu?"

Wakati Frank anajikanyaga aanze vipi kujitetea, mhudumu wa vyumba
akawa amefika na kuuliza.
"Mkuu kama kawaida nimekuandalia namba tano, nendeni tu vinywaji
nitawaletea huko huko"

Kufikia hapo mama akawa hana simile tena, akanyanyuka akitukana kama
chizi. Akatoka nje mbio na kuingia katika taxi iliyokuwepo pale.
Wakati anapatana bei na dereva, Frank naye akaingia. Mama
yakamporomoka matusi kibao na kilio juu. Alipovuta kamasi na kupiga
kwikwi akamsikia dereve anasema.

"Duh, eee bwana Frank huyu malaya uliyeokota leo balaaaaaaaaaaaaaaa!"

Mamaa akazimiaaaazzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Mboa akina Frank ndiyo walio jaa Tanzania!
 
Duhh!! ni soo!!

mke wa Frank anajivunia mume mtulivu, hashindi baa na hatongozi
videmu. Akitoka kazini huenda kucheza basketball na hurudi nyakati za
dinner.
Siku moja mkewe akamhurumia. Anachoka na kazi. Mtu gani
asiyependa starehe japo kidogo? Mke akamlazimisha outing, Frank
akabisha lakini taxi ikafika. Gonga Club & Lodge.

Walipofika mlangoni tu, mlinzi akaita, "Mambo Frank!" "Poa"
"Nilidhani huwa huji club, inakuwaje mlinzi anakufahamu?" mke akauliza
"Yule mgambo, mchana analinda ofisini kwetu, usiku anapiga part time
hapa" akajibu Frank

Wakachagua meza. Kukaa tu tayari mhudumu ameshaleta castle lager.
Akamuuliza mama anakunywa nini. Mhudumu alipoondoka mama akauliza,
"amejuaje unakunywa castle kama hakufahamu?"

Wakati Frank anajikanyaga aanze vipi kujitetea, mhudumu wa vyumba
akawa amefika na kuuliza.
"Mkuu kama kawaida nimekuandalia namba tano, nendeni tu vinywaji
nitawaletea huko huko"

Kufikia hapo mama akawa hana simile tena, akanyanyuka akitukana kama
chizi. Akatoka nje mbio na kuingia katika taxi iliyokuwepo pale.
Wakati anapatana bei na dereva, Frank naye akaingia. Mama
yakamporomoka matusi kibao na kilio juu. Alipovuta kamasi na kupiga
kwikwi akamsikia dereve anasema.

"Duh, eee bwana Frank huyu malaya uliyeokota leo balaaaaaaaaaaaaaaa!"

Mamaa akazimiaaaazzzzzzzzzzzzzzzzzzzz


mambo shem? kumbe uko huku, mbona hujarudi tena kuleeeeeeee!

back to the topic, hapo "basketball court" ni Gonga lodge.

Inaonekana frank alikuwa anajua kutumia muda na simu vizuri, vinginevyo my wife wake angestukia "inshu" mapema.

Aise Frank anafaa kuwa role model!!!:laugh:
 
Duuuhh!! Dada Dena leo umetoa kali. Za siku lkn??
 
Duhh!! ni soo!!

mke wa Frank anajivunia mume mtulivu, hashindi baa na hatongozi
videmu. Akitoka kazini huenda kucheza basketball na hurudi nyakati za
dinner. Siku moja mkewe akamhurumia. Anachoka na kazi. Mtu gani
asiyependa starehe japo kidogo? Mke akamlazimisha outing, Frank
akabisha lakini taxi ikafika. Gonga Club & Lodge.

Walipofika mlangoni tu, mlinzi akaita, "Mambo Frank!" "Poa"
"Nilidhani huwa huji club, inakuwaje mlinzi anakufahamu?" mke akauliza
"Yule mgambo, mchana analinda ofisini kwetu, usiku anapiga part time
hapa" akajibu Frank

Wakachagua meza. Kukaa tu tayari mhudumu ameshaleta castle lager.
Akamuuliza mama anakunywa nini. Mhudumu alipoondoka mama akauliza,
"amejuaje unakunywa castle kama hakufahamu?"

Wakati Frank anajikanyaga aanze vipi kujitetea, mhudumu wa vyumba
akawa amefika na kuuliza.
"Mkuu kama kawaida nimekuandalia namba tano, nendeni tu vinywaji
nitawaletea huko huko"

Kufikia hapo mama akawa hana simile tena, akanyanyuka akitukana kama
chizi. Akatoka nje mbio na kuingia katika taxi iliyokuwepo pale.
Wakati anapatana bei na dereva, Frank naye akaingia. Mama
yakamporomoka matusi kibao na kilio juu. Alipovuta kamasi na kupiga
kwikwi akamsikia dereve anasema.

"Duh, eee bwana Frank huyu malaya uliyeokota leo balaaaaaaaaaaaaaaa!"

Mamaa akazimiaaaazzzzzzzzzzzzzzzzzzzz

Mke wa jamaa amezikwa makaburi ya kinondoni...ijumaa iliyo pita.
 
ashhhhhhh
yani ingekua mm ningevumilia nisizirai ili nifike nyumbani nimuonyeshe kuwa supu haitiwi nazi.
 
mambo shem? kumbe uko huku, mbona hujarudi tena kuleeeeeeee!

back to the topic, hapo "basketball court" ni Gonga lodge.

Inaonekana frank alikuwa anajua kutumia muda na simu vizuri, vinginevyo my wife wake angestukia "inshu" mapema.

Aise Frank anafaa kuwa role model!!!:laugh:

Nilirudi hukuona shem??

Hebu kasome between lines sawa halafu unipe majibu!!
 
Duhh!! ni soo!!

mke wa Frank anajivunia mume mtulivu, hashindi baa na hatongozi
videmu. Akitoka kazini huenda kucheza basketball na hurudi nyakati za
dinner. Siku moja mkewe akamhurumia. Anachoka na kazi. Mtu gani
asiyependa starehe japo kidogo? Mke akamlazimisha outing, Frank
akabisha lakini taxi ikafika. Gonga Club & Lodge.

Walipofika mlangoni tu, mlinzi akaita, "Mambo Frank!" "Poa"
"Nilidhani huwa huji club, inakuwaje mlinzi anakufahamu?" mke akauliza
"Yule mgambo, mchana analinda ofisini kwetu, usiku anapiga part time
hapa" akajibu Frank

Wakachagua meza. Kukaa tu tayari mhudumu ameshaleta castle lager.
Akamuuliza mama anakunywa nini. Mhudumu alipoondoka mama akauliza,
"amejuaje unakunywa castle kama hakufahamu?"

Wakati Frank anajikanyaga aanze vipi kujitetea, mhudumu wa vyumba
akawa amefika na kuuliza.
"Mkuu kama kawaida nimekuandalia namba tano, nendeni tu vinywaji
nitawaletea huko huko"

Kufikia hapo mama akawa hana simile tena, akanyanyuka akitukana kama
chizi. Akatoka nje mbio na kuingia katika taxi iliyokuwepo pale.
Wakati anapatana bei na dereva, Frank naye akaingia. Mama
yakamporomoka matusi kibao na kilio juu. Alipovuta kamasi na kupiga
kwikwi akamsikia dereve anasema.

"Duh, eee bwana Frank huyu malaya uliyeokota leo balaaaaaaaaaaaaaaa!"

Mamaa akazimiaaaazzzzzzzzzzzzzzzzzzzz

Dena sayitaa....

Huyo mke naye kwa nini achague Gonga bar?
 
Back
Top Bottom