Since nipo Chuo mpaka sahivi nipo mtaani Zaidi ya miaka mitatu sijawahi Kuona ama kusikia anyetumia JF.....Habarini wakuu:
vp hapo.kwenu ni wangapi mnaotumia mtandao wa jf au ndo wewe peke yako.? ushawahi kushawishi mtu ajiunge jf.?
Naomba kuitambua jinsia ya huyo Lecturer wako kwanza kabla ya kusema chochote kitu! Lecturer wako? Ukamshawishi ajiunge JamiiForums, na akakubali!Nishawahi kumshawishi lecturer wangu ajiunge na alijiunga.
Jinsia yakoNaomba kuitambua jinsia ya huyo Lecturer wako kwanza kabla ya kusema chochote kitu! Lecturer wako? Ukamshawishi ajiunge JamiiForums, na akakubali!
🙆Jinsia yako
Id ya mkeo?Mimi na mke wangu tunatumia sana!
Mbona inajulikana vizuri tu.Id ya mkeo?