Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 4,559
- 7,018
Natumia kimya kimya kama bangi. Hakuna anayejua na wala sitaki kufahamu nani anatumia. Maana nikijua sitakuwa huru kulumbana na wazee walionizidi umri, elimu na maarifa.
Niko tayari but please NAOMBA unihakikishie hili swala tutazungumza pembeni, private Niko serious, si hapa dear nakupenda we hujui tu♥️Ubebe na mafuta ya nazi nikushughulikie
Nihuma kuveta, ila nihuya kwa msimu.Pa msamala poki? Nene nihumi ku miembeni, veve je?
Ila watu??Id ya mkeo?
Oooh kumbe ta majirani mlongo, nene nihumi kwenu kunyumba wiki yayipitii iyi.Nihuma kuveta, ila nihuya kwa msimu.
Pole mkuu.Haya matusi ya JF machadema wanatayamishia kwenye namba yangu ya simu nayajua haya majamaa kwa kutukana.
Mi nlijiunga nkiwa bado mdogo but now tayar age imesonga sana sema wengi wanapenda mapichapicha kama ilivyo Facebook na Instagram huku ni mwendo wa documents tu vijana hawawezanSince nipo Chuo mpaka sahivi nipo mtaani Zaidi ya miaka mitatu sijawahi Kuona ama kusikia anyetumia JF.....
Ni wazi ukiachana na JF kuwa platform ya watu Makini but pia ni sehemu ya watu walitembea age kidogo
Sio kweli, siku hizi vijana wengi tunatumia sana jamiiforum , Mimi mara kadhaa hata nikiwaga darasani huwashawishi Wanafunzi wenzangu kutumia hii platform, binafsi nimeanza kutumia jamiiforum since niko form two till now niko chuoSince nipo Chuo mpaka sahivi nipo mtaani Zaidi ya miaka mitatu sijawahi Kuona ama kusikia anyetumia JF.....
Ni wazi ukiachana na JF kuwa platform ya watu Makini but pia ni sehemu ya watu walitembea age kidogo
anaitwa nan mkuu, asije kua ni cocastic na leo tu kuna mwamba kamwandikia uzi anamwelewa kishenziMimi na mke wangu tunatumia sana!
eFootball ni backup tu shemeji 😂Mejii, [emoji23][emoji23][emoji23]
yeye nduguyo anaipenda eFootball.
Efootball ipo tuu😃Mejii, [emoji23][emoji23][emoji23]
yeye nduguyo anaipenda eFootball.