donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,076
- 21,551
Huu wizi wa wenye mitandao ya simu umezidi.
Hivi kweli 2.5GB inaweza ikaisha kwa kubrowse social networks tu hata YouTube hujaingia Tena within 4 hours? Wakuu Kama Kuna mtu anaconnection na ISP provider hata wa satellite net anijuze.
Buku mbili yangu imeenda kibwege Sana.
Hivi kweli 2.5GB inaweza ikaisha kwa kubrowse social networks tu hata YouTube hujaingia Tena within 4 hours? Wakuu Kama Kuna mtu anaconnection na ISP provider hata wa satellite net anijuze.
Buku mbili yangu imeenda kibwege Sana.