mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,282
- 44,823
Walinipiga elfu 2 Mia tano ya bando la supa spidi.nikasema hamnioni Tena .
Voda hao wamefanya yao pole sana bwashee
Voda hao wamefanya yao pole sana bwashee
Mimi niliweka 20GB kwa TZS 15,000 , Kifurushi cha wiki.Afadhali wewe uliweka 2.5GB. mimi niliweka 25GB toka siku hiyo internet imazingua. Baada ya siku 3 niliangalia salio nikakuta 16GB
Niliwahi kusoma sehemu wameandika hao jamaa wanaweza kukupa hata gb 25 kwa bei chee ila mtandao utajua mwenyewe kwa kuupata.
Kuna mtu aliwahi kusema airtel wanaweza kukupa 10GB kwa 500 ila network utajua wewe kwa kuipataAfadhali wewe uliweka 2.5GB. mimi niliweka 25GB toka siku hiyo internet imazingua. Baada ya siku 3 niliangalia salio nikakuta 16GB, nikabaki nashangaa.
Yaani mpaka hapa wanasubiri mda wa kifuruhi kuisha.
Hawa si wengine bi Airtel Tanzania
Utupu ni maliTcra wap bize na UTUPU wa Gigi
Utupu ni mali
Nina halotel, lkn nao internet ni shida nowadays!Yaani tcra wangekuwa bize kwenye vifurushi Kama walivyokuwa bize na UTUPU wa gigi.
TANZANIA ingekuwa nchi salama Sana ya kuishi.
Voda wanatuibia sanaa.nimevunja laini yao nimebaki na halotel
wana bando za usiku zile za kuanzia saa 6....vp wako na 4G au ndio 3g cjui H+jaribu Zantel wana afadhali kwa buku napata 1GB siku tatu. ingawa kuna mda speed inakuwa nzito byt/sec
Nina halotel, lkn nao internet ni shida nowadays!
exactly, wana afadhali kidogoNi kweli Ila Halo tel wana afadhari.
Kwa buku 1 unapata Gb 1 wiki.
Ila Kuna siku ikiamua kuzingua inazingua kweli.
Haloteli wapo vizuri mbona?Makampuni yote ni "washenZi" . Halotel ndiyo mfu kabisa!
internet shida.... walikuwa vizuri just juzi, sasa sijui kuna niniHaloteli wapo vizuri mbona?
Huku nilipo natmia. Halotel na gb tano nadownload hata kwa dakika nneinternet shida.... walikuwa vizuri just juzi, sasa sijui kuna nini