Hapana, hapana UKAWA mnaipeleka nchi pabaya

Hapana, hapana UKAWA mnaipeleka nchi pabaya

Mimi ni Mtanzania nasema basi inatosha ghiriba za UKAWA kutaka kuingia Ikulu kwa gharama zozote zile. Maneno yaliyotokewa leo na "Mchungaji Gwajima" na yale ya "padri" Dr Slaa, wote wana CHADEMA, si ya kupuuza kwa jinsi yanavyogusa usalama wa Taifa hili. Chonde chonde tuyafakari kwa kina, kwani siyo tu kwamba wanajibizana tu hawa wawili bali yaenda mbali zaidi na kugusa hata imani zetu.

Usijali kelele za Gwajima ni baada ya October atazimika kama jina lake "Gwajima" atazimika kabisaa!! Mtakuwa mnajiuliza hivi gwajima yupo??
 
Mimi ni Mtanzania nasema basi inatosha ghiriba za UKAWA kutaka kuingia Ikulu kwa gharama zozote zile. Maneno yaliyotokewa leo na "Mchungaji Gwajima" na yale ya "padri" Dr Slaa, wote wana CHADEMA, si ya kupuuza kwa jinsi yanavyogusa usalama wa Taifa hili. Chonde chonde tuyafakari kwa kina, kwani siyo tu kwamba wanajibizana tu hawa wawili bali yaenda mbali zaidi na kugusa hata imani zetu.
toa uoga wako hapa , makavu laivu kwa wahusika kwa wakati
 
Ccm ndio wamesababisha haya yote wamejitahidi kutumia propaganda mbaya na nguvu nyingi sana kutaka kubaki madarakani.

1995 ccm walitumia propaganda chafu kwa kusema cuf wameingiza jambia kuleta vita na aliyetumika kuonyesha jambia kwenye tv ni omary mahita akitumiwa na ccm leo mgombea wa ccm anazunguka na kusema wakichagua wapinzani nchi itaingia vitani.ccm wanalazimisha kubaki madarakani
 
Kuitetea ccm ni ngumu sana ni mpaka uwe mwendawazimu kidogo ndo uitetee maana maana ccm haina pa kutokea.
 
Mag3
Mzee nlikuwa sikuelewi zamani lakini baada ya kufanya uchunguzi wangu nikajakujua kitu kimoja tu.

Politicians and diapers must be changed often,and for the same reason.
 
Last edited by a moderator:
mimi ni mtanzania nasema basi inatosha ghiriba za ukawa kutaka kuingia ikulu kwa gharama zozote zile. Maneno yaliyotokewa leo na "mchungaji gwajima" na yale ya "padri" dr slaa, wote wana chadema, si ya kupuuza kwa jinsi yanavyogusa usalama wa taifa hili. Chonde chonde tuyafakari kwa kina, kwani siyo tu kwamba wanajibizana tu hawa wawili bali yaenda mbali zaidi na kugusa hata imani zetu.

ukweli ndio tabia yake hiyo na si vinginevyo,umezoea uongo ndio maana unashangaa.
 
Ccm na JK wamefilisika sana wameamua kufanya siasa za hovyo. Mbona Lipumba alisimama msikitini kumuunga mkono kikwete mwaka 2010! Lowassa hawezi kufanya ujinga huo mnaoueneza baada ya propaganda zenu zote kumchafua kufeli...na bado mtaelewa tu mwaka huu
 
Mimi ni Mtanzania nasema basi inatosha ghiriba za UKAWA kutaka kuingia Ikulu kwa gharama zozote zile. Maneno yaliyotokewa leo na "Mchungaji Gwajima" na yale ya "padri" Dr Slaa, wote wana CHADEMA, si ya kupuuza kwa jinsi yanavyogusa usalama wa Taifa hili. Chonde chonde tuyafakari kwa kina, kwani siyo tu kwamba wanajibizana tu hawa wawili bali yaenda mbali zaidi na kugusa hata imani zetu.

Hapa ni #LOWASSAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA TU!
NA HAUELEWEKI UKIMKANDIA LOWASSA NA UKAWA.
 
Hoja gani aliyoongea Gwajima ya Kuchambua? Gwajima ana nafasi gani Chadema?

Amejibu shutuma zilizoelekezwa kwake na Slaa kwamba ni mshenga. Na ameeleza na kukubali jinsi alivyokuwa mshenga.ccm bana mkijibiwa ikawachoma mnaanza kuleta amri za kibabe au kwa vile Dola na mahakama mnaziamrisha?
 
Katafakari sasa kwanza ndio uje useme UKAWA blaa blaa blaa blaa

Ahsante kwa haya ya chini, unahitaji pongezi:

Hii inazidi kuthibitisha kuwa Lowassa ni Fisadi wa viwango vya kimataifa. Ina maana wangekuwa wanasajiliwa, bila shaka Lowassa angekuwa fisadi wa kulipwa, tena kwenye klabu kubwa kubwa...
 
"Hii inazidi kuthibitisha kuwa Lowassa ni Fisadi wa viwango vya kimataifa. Ina maana wangekuwa wanasajiliwa, bila shaka Lowassa angekuwa fisadi wa kulipwa, tena kwenye klabu kubwa kubwa..."

Vipi na wewe umeingia kwenye hiyo "klabu kubwa kubwa"?

Iko hivi
 

Attachments

  • 1441855725543.jpg
    1441855725543.jpg
    20.1 KB · Views: 116
Slaa angekaa kimya wala yote yasingetokea, mkifanya nyie sawa mkifanyiwa mnasema ni kosa, angetulia kama lipumba heshima yake ingekuwa kubwa tu, mkamhonga ili mmchafue ngoyai, sasa na wao wamejibu ili watz muelewe kuna mihogo ni mnafiki tu
 
Mbona Lowassa na Sumaye wanalindwa na usalama wa taifa?hata wewe ukitishiwa amani utalindwa na usalama wa taifa na hata polisi.

Nina mifano hai ambayo watu walipeleka polisi kuomba ulinzi lakini wakapuuza na yakawakuta, tz hakuna kitu kama hicho wanakulinda kwa interest zao,
 
Hivi nchi hii matatizo yote ni lowasa tu ndyo anayaleta?

Basi ccm wakae kimya wasimuandame kumchafua, kwani ccm hasa hakuna msafi, wengi wanataka kutoka lakini wanaogopa kutoka kwani wakijitoa ccm itataja maovu yao
 
Usijali kelele za Gwajima ni baada ya October atazimika kama jina lake "Gwajima" atazimika kabisaa!! Mtakuwa mnajiuliza hivi gwajima yupo??

Ukimchokonoa atarudi tu
 
Back
Top Bottom