Mchochezi JF-Expert Member Feb 29, 2012 10,409 6,555 Sep 26, 2012 #1 View attachment 66097 sihitaji marafiki muda wamaakuli
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Sep 26, 2012 #3 Mmmh kwa mlo huo, akili itafanya kazi saa ngapi?
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Sep 26, 2012 #4 hao ndio ambao wakipata madaraka hawayaachii tena.
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Sep 26, 2012 #5 Huyu lazima atakuwa mwana ccm, maana ndiyo waliozoezwa hayo masinia na chama chao wakati wa mikutano.
Huyu lazima atakuwa mwana ccm, maana ndiyo waliozoezwa hayo masinia na chama chao wakati wa mikutano.