Hapa roho mkononi!!!

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,956
12,592
Kiboko.jpg
Sijui hapa atajiokoa vipi!

 

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,956
12,592
Halafu anaonekana ni askari wa wanyamapori maana ana radio call mkononi.
 

Babuyao

JF-Expert Member
Jun 6, 2009
1,740
266
huyu jamaa atakuwa alimalizwa kabisa na hili li-mnyama maana limembananisha ile mbaya!
 

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
50,170
72,054
Haaa jamani watu wengine, haya picha ya Malaria Sugu mmeipata wapi? ndoo kisa cha kujiita MS baada ya kupona pona kwenye huu mkasa!!!
 

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,150
9,097
hahah lol
ingekuwa mi ningesisima tu au ntalala chini..
hamna haja ya kukimbia ...
 

TUKUTUKU

JF-Expert Member
Sep 14, 2010
11,769
4,032
Mh!nafikiri hii itakuwa mbuga ya wanyama ya katavi iliyopo mkoani Rukwa!mh kuna kiboko wakubwa uko!
 

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
45,886
101,877
Hana hatari yoyote, kiboko hawezi kupinda kona hivyo anachofanya ni kutoka mbio kunyoosha kwa kasi na kupinda kona kwa ghafla mchezo umeisha, kutokana na uzito, atakimbia mbali sana ndipo apunguze mwendo, na macho yake hayaoni mbali.
 

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,956
12,592
Mh!nafikiri hii itakuwa mbuga ya wanyama ya katavi iliyopo mkoani Rukwa!mh kuna kiboko wakubwa uko!
..................ahahahahaaaaah kweli kabisa mkuu huku ndio nyumbani kwao.
 

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,251
2,645
huyuu alikuwa aramiaaaa...sasaa kaingiaaa pande sio za kiboko.leoo atajutaaaa
 

Parapanda

Member
May 30, 2010
39
4
Tena ni pale mtoni Sitalike. Aah nakumbuka zamani palikuwa na samaki wengi wakiuzwa barabarani tukienda Sumbawanga na mabasi ya Railway na Said Ally. Siku hizi hakuna samaki pale, hata viboko wamepungua, kisingizio MABADILIKO YA TABIA NCHI.
 

Idimi

JF-Expert Member
Mar 18, 2007
14,592
9,748
Duh, huyo kiboko ni kama tani tatu hivi, jamaa ana haki ya kukimbia!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Top Bottom