Kujichukua sheria mkononi

gwego1

Senior Member
Jul 28, 2023
147
521
Wakuu Salaam?

Baada ya kujichukulia sheria mkononi tangia nikiwa form 3 mwaka 2009 hatimae mwaka huu nimefanikiwa kumaliza mwezi bila kujichukulia sheria mkononi.

Njia niliyoitumia ni baada ya kusoma Uzi wa ndugu Mshana Jr kuwa ukiogea chumvi ya mawe kwa siku Saba mfululizo roho ya chafu ya kujichukulia sheria mkononi inapotea.

Nilifata maelezo yote ya ule Uzi now Niko hapa kutoa ushuhuda😂😂😂😂.

Kwa walio teseka na hii Hali na kutamani kuacha lakini wakashindwa basi tiba imepatikana.

Ashukuriwe ndugu Mshana kwa kutusanua.

Nawasilisha.
 
Nakataa kabisa hakuna kinachoshindikana
Kuacha Inawezekana kabisa kabisa
Weeeh tulia

Hutaki mwenzako afaidi, kupiga puchu kuna faida nyingi.

1. Time broo time, mademu wanachukua muda wetu mwingi, wanahitaji attention mara outing mara anataka mwanze kutumiana vimeseji vya kutiana nyege...balaa tupu huo muda bora ujifunze other skills/business ideas za kutafuta pesa.

2. Resources zinatumika marejesho kidogo, ukipata mwanamke anayekupenda na asiyekuchuna hongera yako broo lakini kwa hawa malaya waliochangamka broo bora nifanye namna yangu.

3. Peace of mind, tumezungukwa na wanawake sio waaminifu kabisa yaan, una invest vitu vingi kwake alaf mwisho wa siku hupati chochote.

But lastly, PUCHU MBAYA WAZEE FANYA KWA KIASI, INA MADHARA SERIOUSLY BOTH MENTALLY AND PHYSICALLY.
 
FB_IMG_16947262079739621.jpg
 
Kila kitu hakikosi side effects

Hata ugali nao ukiuchunguza una side effects

Cha kukiepuka au kupunguza ni pale hizo side effects zinakupelrka kwenye direction ya kupata kilema cha kudumu au kifo.
Nimeamua kutafta tiba baada ya kuona goli la kwanza ndani ya dk 2 nakuwa nimeshautupa mkuu! Nadhan hio ndo side effect ya kwanza.
 
Yani umekaa mwezi mmoja tu tayari umeanza kujipa na pongezi?

Yani hiyo kwenye soka ni sawa na mchezaji mwenye kadi ya njano afunge goli dakika 15 halafu ashangilie kwa kuvua shati
Hapana mkuu siku 30 ni nyingi sana!
 
Back
Top Bottom