Hapa Pinda nini tena

nimejua kumbe wengi huwa mnabisha tuu kwa vitu hata msivyovielewa haaaa!

HAKIKA.....NGOJA WAONE WENYEWE SASA

esp_vatican_pope_chavez_sff_ful1.jpg



arafat-kissing-pope-ring.jpg


image516960x.jpg
 
Hii ni salam kwetu sisi wakatoliki unapokutana na Askofu unatakiwa kubusu Pete. Kwa Mungu hakuna cha Pm au president wote ni sawa, kubusu pete hii hatumii cheo chake ila imani yoke, mbona Jk anavaa kazu hata kwenye public hili si vazi rasmi kwa watz bali la kiislam lakini hatulalamiki watu wa madhebu mengine, tunafaham pamoja na urais wake lakini bado anaimani yake.


The same applied to Pm. Acheni udini.
 
Kumbe hata Yasar Arafat anabusu pete papa sasa pinda kitu gain, Jk mwenyewe atakuwa amebusu si alijifanya anatembelea Vatican picha zitakuwepo
 
attachment.php

sina uhakika kama ni sawa kwa pinda kufanya anacho kifanya...
kiimani sisi wakatoliki ni sawa! Ni moja ya unyenyekevu tunaotakiwa kuunyesha tukutanapo na wakuu wetu wa kiroho. Ni mara chache sana kuipata hii chance.
 
pinda ana pete ya sheikh yahya hussein...
Kweli ccm washirikina

Wewe ungejua maana ya pete...ungezivaa mwili mzima, hebu jiulize hayo madini yote na vito vyote vinavyochimbwa hapa tz huenda wapi kama siyo huvaliwa na watu? Unajua kama watz tungetakiwa tuvae vito kuliko raia wa nchi nyingine duniani!

They are the treasures of our own land, yet we have been utilizing the produce from the earth's surface and but not those within the earth's surface?

So, nilichokuwa nataka nikuelimishe hapa ni kwamba pete hazina dini na ndo maana haziuzwi kwenye nyumba za dini bali kwa masonara..pia hata wewe unaweza kuzivaa bila kuvalishwa na mtu yeyote, hii ni kuonyesha kuwa huvikubali tuu vilivyoko kwenye uso wa dunia bali hata vilivyoko ndani ya dunia...

Kwani mungu aliumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana,vilivyoko juu na ndani ya ardhi.
 
Yaani anakosea sana!Tena sana...implication yake kitaifa sio ndogo....anachukulia respects kwa dini yake ambapo inatakiwa iwe kitu personal issue public namna hii na anajua kabisa Watanzania wengi tu, tena sana sio Wakatoliki wenzake,hivyo issue ya vitu kua public namna hii inaleta kitu kama reluctancy atmosphere kwa non catholics ambapo italeta sintofahamu kutoka upande wa pili...

Very very uchemfu kabisa....huwezi kupewa madaraka makubwa namna hiyo na public halafu unaleta personal religious preferences kwenye ofisi zao walizokupa....kinajitia kina heshima sana,kinafiki tu hiki....sipendi mijinafiki namna hii....atleast tupe deliveries basi,hamna kitu,utakatifu usiokua na manufaa kabisa...excuse me,Im just saying....
 
Yaani anakosea sana!Tena sana...implication yake kitaifa sio ndogo....anachukulia respects kwa dini yake ambapo inatakiwa iwe kitu personal issue public namna hii na anajua kabisa Watanzania wengi tu,tena sana sio Wakatoliki wenzake,hivyo issue ya vitu kua public namna hii inaleta kitu kama reluctancy atmosphere kwa non catholics ambapo italeta sintofahamu kutoka upande wa pili...

Very very uchemfu kabisa....huwezi kupewa madaraka makubwa namna hiyo na public halafu unaleta personal religious preferences kwenye ofisi zao walizokupa....kinajitia kina heshima sana,kinafiki tu hiki....sipendi mijinafiki namna hii....atleast tupe deliveries basi,hamna kitu,utakatifu usiokua na manufaa kabisa...excuse me,Im just saying....


Unatumia saburi kufikiri au? Acha udini weye.....
 
HAKIKA.....NGOJA WAONE WENYEWE SASA<br />
<br />
<img src="http://ivarfjeld.files.wordpress.com/2009/06/esp_vatican_pope_chavez_sff_ful1.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<img src="http://drkatesview.files.wordpress.com/2010/09/arafat-kissing-pope-ring.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<img src="http://wwwimage.cbsnews.com/images/2002/07/31/image516960x.jpg" border="0" alt="" />
<br />
<br />
naomba mabishano yaishe watakaondelea hawataeleweka.
 
Hii ni salaam kwa wakatoliki unapomsalimia askofu lazima ubusu pete yake, ni mambo ya imani tu ndugu zanguni
 
NA BOSI WAKE JE?

kikwete+hitma+1.JPG

kakalia viti viwili lakini KIKWETE kaa chini kwenye mkeka

hapo chini Pinda naye ni dili yake kubusu pete, kuna watu wanasema pete ya mtu hapana kwa wakatoli hizi pete sio just pete wakuu
ni pete maalumu sio pete za ndoa hizo kwani maaskofu wanaoa siku hizi mbona tunakosa hekima
waziri mkuu hayuko juu ya dini yake huko ni muhumini wa kawaida kama hivyo hapo kwa kikwete kaa chini na kusikiliza mawaidha ya viongozi wake wa dini
hakuna choice au uraisi hapo

attachment.php

Sina uhakika kama ni sawa kwa pinda kufanya anacho kifanya...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom