Hapa ni tulie au nile kona.

Hapa ni tulie au nile kona.

Poleni sana,hawa madogo wanazingua sana mkuu,hapo mtoa mada ndio kwanza yupo first year tena Zoom College anamuuliza demu kuwa amekula wakati nae anapewa pocket money na shemeji yake
Mapenzi bana kilamtu ukimsikia utahisi ni kontawa fulani kwenye Mapenzi ila reality mbugira tu kwenye mahusiano
 
Endelea kumuuliza Malaya kama amekula na mamako nyumbani hana hata mafuta ya kupaka.
Usimuulize mpenzi wako umekula kisa mamayako hana mafuta, jifunze kuweka mipaka ya nafasi ya jambo wewe unazaliwa mpaka unafikia Hapo ushawai maliza shida zote za mamayako kwahiyo utakuwa single milele kisa mamko anashida
 
Maswali ya umekula na uko wapi yalikua yananichoshaaaaa. Sijui What’s your favorite colour, umevaa nini hapo, nitumie picha yako ndani ya nightdress, au jitu linachat kwa sms unaliambia ntakuchek mida naenda kuoga linajibu eti nije nikusugue mgongo na hapo ndo kwanza kachukua namba af utafkiri linahesabu dakika ukitoka tu kuoga unakuta linapiga video call, usipopokea linakwambia eti hutaki nikuone mrembo. Kidogo niugeukie utawa🤣 Wakaka muwe mnachat vitu vya msingi na hao mnaowatongoza. Af muache ile tabia unampigia mtu asipopokea unajifanya kununa eboooo kwani ulinikuta nakusubiri wewe uje unitongoze. Hayo nliokwambia hapo juu usije kujaribu dogo utakimbiwa.

Nirudi kwenye mada. Usianze story za awe anakuomba sijui ruhusa sijui nini mtakorofishana. Give her space. Take time mambo yatajipa mdogo wangu. We like mystery sio mtu anakua predictable kama gari moshi unajua litapita njia hii. Mkianza kuwa serious na mahusiano ndo muwe hata mnapeana hizo updates mnazotaka. Sasa mtu unambana mwanzoni mbona anakukimbia
Kwa maelezo yako unaonesha hujui hata mahusiano ni Nini....unaposema kuwasiliana aangalie vitu serious Kama vipi awasiane kuhusu uwekezaji wa HISA Duniani au umeandika ujinga Hapo Sana wanawake dizaini yako ndio wauni wakiwa na nyie wanaamua wapige na kusepa
 
Sasa Wanangu niambieni hapa nionje mbususu then nipite hivi au nirisk kuwa na serious relationship na yeye maana pia ni pisi Kali kabisa yaani.
Piga mbususu uisasambue vyema haswaaa, ukikuta yaliyomo yamo liendeleze gurudumu
 
Tunza hela ya boom kidogo kinachobaki mtaani kugumu na ajira hazipo na bado ukipata ajira maslahi madogo hautaweza timiza ndoto zako kirahisi .

Achana na habari za kumtoa mtu dinner na hela ya boom wakati kwenu neno dinner halipo ni habari za chakula cha jioni

Nisamehe nimeamua nikuchane mdogo wangu
Sounds like una hekima. naomba upitie thread yangu unishauri kitu.
 
Usimuulize mpenzi wako umekula kisa mamayako hana mafuta, jifunze kuweka mipaka ya nafasi ya jambo wewe unazaliwa mpaka unafikia Hapo ushawai maliza shida zote za mamayako kwahiyo utakuwa single milele kisa mamko anashida
Sasa kwa akili yako MTU mzima hajui kula mpaka aulizwe. Ujinga mtupu.
 
Sa we kwanini ulivokuta joystick 🕹 haukutoa ugusishe kidgo uweke heshima
 
Wenzenu wanatafuna mizigo,nyie wapori pori mnajibebisha. Hahaaa....
Utatafuna Dunia yote au acha ujuaji wewe kutafuna unaina deal pesa yako tu unatafuna kilasiku Riverside nk ila serious relationship Ina misingi yake eti usimjari mpenzi wako kisa kwenu sio matajiri ujinga huo
 
Wewe ni mjinga. Kwanza masomo ndiyo yalikupeleka chuo not huo upuuzi.
Kitendo cha kuuliza MTU mzima kama amekula ni upumbavu sio wa dunia hii...utakipata unachokitafuta. Mkitokea familia za kimaskini huko vyuoni mnajaa ulimbukeni sana.
Mwanaume mzima ety umealikwa besidei....fakini kabisa.
Mkuu si hayo ndo mambo ya vyuoni sasa...vitoto vimejaa upuuzi hadi vinachefua
 
Maswali ya umekula na uko wapi yalikua yananichoshaaaaa. Sijui What’s your favorite colour, umevaa nini hapo, nitumie picha yako ndani ya nightdress, au jitu linachat kwa sms unaliambia ntakuchek mida naenda kuoga linajibu eti nije nikusugue mgongo na hapo ndo kwanza kachukua namba af utafkiri linahesabu dakika ukitoka tu kuoga unakuta linapiga video call, usipopokea linakwambia eti hutaki nikuone mrembo. Kidogo niugeukie utawa[emoji1787] Wakaka muwe mnachat vitu vya msingi na hao mnaowatongoza. Af muache ile tabia unampigia mtu asipopokea unajifanya kununa eboooo kwani ulinikuta nakusubiri wewe uje unitongoze. Hayo nliokwambia hapo juu usije kujaribu dogo utakimbiwa.

Nirudi kwenye mada. Usianze story za awe anakuomba sijui ruhusa sijui nini mtakorofishana. Give her space. Take time mambo yatajipa mdogo wangu. We like mystery sio mtu anakua predictable kama gari moshi unajua litapita njia hii. Mkianza kuwa serious na mahusiano ndo muwe hata mnapeana hizo updates mnazotaka. Sasa mtu unambana mwanzoni mbona anakukimbia

In short dogo ametaka kujivusha level bila kufata hatua…..inatakiwa amjulie kwanza aki unlock code fulani then amtengenezee utegemezi fulani wa kitabia kama anataka kwenda nae extra miles.
 
Kwa maelezo yako unaonesha hujui hata mahusiano ni Nini....unaposema kuwasiliana aangalie vitu serious Kama vipi awasiane kuhusu uwekezaji wa HISA Duniani au umeandika ujinga Hapo Sana wanawake dizaini yako ndio wauni wakiwa na nyie wanaamua wapige na kusepa
Mnawapata kunguni wa design yenu usinichoshe mie. Yani unataka nikutumie picha za night dress ili iweje 🤷🏽‍♀️ hizo ataziona akiwa mkewe. mtu anaacha kukuuliza mipango ya maana mnawaza ngono tu. Wapo gentlemen ambao hawaulizi eti umevaa chupi rangi gani. Huo ni utoto. Eti nimeandika ujinga. Kama wewe ndo tabia yako utawapata hao wa kupiga na kusepa jinga nn.

Ndo nyie mnakuwaga mnawarubuni wadada eti nikupigie video call nikuone ukitoka hapo unaenda kupost picha zake za utupu kwa upuuzi wenu. Mambo ya kuongea ni mengi sio lazima eti uone mtu akitoka kuoga anakuwaje na ndo kwanza unamtongoza kha. Unauona ni ujinga kwasababu nimekugusa ndo tabia zenu za kijinga hizo.
 
In short dogo ametaka kujivusha level bila kufata hatua…..inatakiwa amjulie kwanza aki unlock code fulani then amtengenezee utegemezi fulani wa kitabia kama anataka kwenda nae extra miles.
Gentlemen mnaojielewa sasa. Yani mwanamke ukimjulia mbona utaenda nae kama mlenda. Sasa kuanza na kuanza mtu anataka kupita na matairi wakati ndo kwanza kapewa lift. Awe patient tu
 
Mnawapata kunguni wa design yenu usinichoshe mie. Yani unataka nikutumie picha za night dress ili iweje 🤷🏽‍♀️ mtu anaacha kukuuliza mipango ya maana mnawaza ngono tu. Wapo gentlemen ambao hawaulizi eti umevaa chupi rangi gani. Huo ni utoto. Eti nimeandika ujinga. Kama wewe ndo tabia yako utawapata hao wa kupiga na kusepa jinga nn
Wewe mbugira mweupe Sana, taja mambo ya maana ambayo munaongea na bwanawako kilasiku ninyi wapenzi au Workmates hio kazini moaka ikulu watu wako na soft conco, jokes funny, mapenzi ni randomly convo unajifanya mjuaji kumbe mweupe kwa namna hio kila mwanaume utayekutongiza atakuoiganao na kukuacha Hell a you nikuulize baby umekula uniletee ujinga unataka nikuulize being za mazao sokoni acha ujinga wewehata mtu Kama aliamua kuwa serious na malengo na wewe ataliona hili demu vipi ngoja nichape tu.
 
Back
Top Bottom