Hapa ni tulie au nile kona.

Hapa ni tulie au nile kona.

Mi ni mwanafunzi wa chuo, juzi tarehe 05 kulikua na birthday ya binti flani ni rafiki/mwanachuo mwenzangu aliweka kiparty flani cha magumashi, sehemu aliyopanga kulikua na chumba tupu basi kakawa kama ka ukumbi fulani na party ikafanyikia mule ndani.

Sasa wakati party inaendelea walikuja rafiki wa huyo mwanafunzi mwenzangu wanasoma chuo tofauti na chetu but ni vyuo jirani, baada ya kulishana keki na mambo yote kuisha ikabidi upigwe mziki, wakati mziki unaendelea nikaomba kucheza na binti mmoja kati ya wale waliokuja toka chuo jirani kweli akanikubalia.

Tuliendelea kucheza kwa muda na jinsi tulivyo kuwa tunaendelea kucheza nilianza kuona hali tofauti kwa yule binti like hisia zikawa zinampanda basi nikajaribu kusogeza mdomo wangu karibu na wake nikakuta binti kaupokea na kuung'ang'ania akinipa denda fulani La hatari .

Hiyo hali iliendelea kwa muda mrefu yaani ikawa denda, ulimi masikioni, mitomaso ya maana, sasa nikazidisha uchokozi nikataka kupima oil, nikakuta mtoto ana pad ina maana simba alikua dimbani, dah pozi likakata maana nilishaona kabisa nakaribia kula tunda kimasihara.

Mpaka mida ya saa 7 hivi binti akawa amechoka anahisi usingizi akaniomba nimsindikize ghetto kwake ni karibu kabisa na pale kwenye party basi nikamsindikiza njiani akanitajia namba pia nikamuuliza palepale kama tunaweza endelea kudate akasema its okay, nikamfikisha ghetto kwake mi nikageuka kwenye party.

Mida ya saa nane party ikaisha tukageuka makwetu, kesho yake tarehe 06 tukawasiliana vizuri tu mchana kutwa but jioni nikamuuliza yule binti kama naweza kumtoa dinner akakubali but akanambia si unajua siko poa nikamwambia asijali ni suala la dinner tu sio kingine kweli nikampeleka sehemu tukala tuka enjoy ile time pamoja tukashare baadhi ya vitu ikawa siku nzuri sana nikamrudisha home fresh.

Jana tarehe 07 asubuhi tumewasiliana vizuri sana mchana pia tumewasiliana fresh jioni mida ya saa 18 akanipigia tukaongea kama dakika mbili nikamtania niko karibu ya mitaa yenu nikitegemea atasema anione but akajibu tu sawa then akaniambia yuko anapika atanicheki nikamwambia poa.

Mida ya saa tatu na nusu nikakuta bado yuko kimya nikamtext hakujibu saa nne nikamtext tena hakujibu nikatulia tu, mida ya saa tano akanicheki oh baby sorry kwa kuchelewa kujibu sikuhoji chochote nikamuuliza tu umekula akajibu yes nimekula basi tukaendelea kuchat mambo mengine baada ya muda akaweka status wako dinner somewhere like bar yenye restaurant halfu wamerecord video clip wapo mabinti wawili wasio onekana kwenye video but zinasikika sauti zao na mshkaji flani hivi inaonesha anapiga gambe pale na nyama choma ya kutosha nikamuuliza hii nini? Et sorry leo rafiki wa rafiki yangu ametutoa out but sorry sikukwambia dah ile ikanipa hofu why hakusema na alisema anapika na nilivyomwambia niko karibu na kwao hakuonesha kurespond vizuri.

Nikawaza ukute nilivyompata kirahisi ndivyo wengine wanampata kirahisi?

Sasa Wanangu niambieni hapa nionje mbususu then nipite hivi au nirisk kuwa na serious relationship na yeye maana pia ni pisi Kali kabisa yaani.
Vijana naowaoneaga huruma sana vija wa kiume.Unajua wanawake ni matatizo yaliyotulia.Ila ukiyachokoza utaishia kujirusha ghorofani
 
ndo ulichotumwa chuoni kufanya,mnatuumiza wazazi mjue ni mambo gani haya sasa,mwanamke anaenda club sijui birthday part unafuture naye kweli?au unatafuta homa ya ini?unamalengo na kilichokupeleka chuo?
hata kama mali zipo basi inahitaji kuziendeleza ila kwa akili hizi mali za urithi zitauzwa mapema
 
Wewe ni mjinga. Kwanza masomo ndiyo yalikupeleka chuo not huo upuuzi.
Kitendo cha kuuliza MTU mzima kama amekula ni upumbavu sio wa dunia hii...utakipata unachokitafuta. Mkitokea familia za kimaskini huko vyuoni mnajaa ulimbukeni sana.
Mwanaume mzima ety umealikwa besidei....fakini kabisa.
Best comment so far
 
Nina mdogo wangu wa kike na yeye alipofika chuoni kutoka kijijini alishadadia hizo besidei....wanaume wakamla weeee.....mwisho wa siku amedisko. Leo napata taarifa kwamba ameokotwa na kijana anayesomea uchungaji wa jeshi LA wokovu wamepelekana huko Nairobi.
So nafungua jf nipunguze stress napatana tena na huu upuuzi.
bora hata huyo amepata tapeli mwenzie,kuna hawa wanaojiuza
 
ndo ulichotumwa chuoni kufanya,mnatuumiza wazazi mjue ni mambo gani haya sasa,mwanamke anaenda club sijui birthday part unafuture naye kweli?au unatafuta homa ya ini?unamalengo na kilichokupeleka chuo?
hata kama mali zipo basi inahitaji kuziendeleza ila kwa akili hizi mali za urithi zitauzwa mapema
Nimekuelewa vizuri lakini mnakosea mnaposema ndo kilichokupeleka chuo, kwaiyo nikiwa chuo inabidi iwe mm na books, Mimi na library mpaka nigraduate? kwamba nyie kipindi mnasoma ndo mlikua mkisoma hivyo? anyway mazuri nayachukua ahsante.
 
Lile boom ni lako wewe unakula na mayala wenzako baada ya muda unaanza kulia lia kusumbua nyumban tukutumie pesa
Kupitia huu Uzi nimeanza kujua pia humu watu fikra zipo finyu kushinda hata Mimi? Kwaiyo boom halitakiwi kutumiwa? je kuna ubaya gani kama nilitumia 20000 kwa dinner na pengine nisitumie tena kiwango kama hicho hivi karibuni?
 
Kupitia huu Uzi nimeanza kujua pia humu watu fikra zipo finyu kushinda hata Mimi? Kwaiyo boom halitakiwi kutumiwa? je kuna ubaya gani kama nilitumia 20000 kwa dinner na pengine nisitumie tena kiwango kama hicho hivi karibuni?
Wewe ni mtoto wetu sana huku
Hayo mambo tumepitia mwisho wa siku tuliona ni ubatili mtupu na kupoteza muda pesa
Tena kipind hicho ukimaliza tuu ajira mkonon

Hiyo hela bora ungeitunza kuliko kumlisha huyo mayala
Hana shukran kabsaaa
Angekua na shukran angejali hisia zako ulipo mwambia upo mtaan kwao

Achana na hiyo takataka
Check mawazo akili moyo wako vyote vinamuwaza yeye
Wakati yeye hakuzingatii anakuona ngedere tuu
 
Nimekuelewa vizuri lakini mnakosea mnaposema ndo kilichokupeleka chuo, kwaiyo nikiwa chuo inabidi iwe mm na books, Mimi na library mpaka nigraduate? kwamba nyie kipindi mnasoma ndo mlikua mkisoma hivyo? anyway mazuri nayachukua ahsante.
sawa hatukatai ila sasa mwenzangu umeenda deep mno zaidi ya kilichokupeleka
 
Uyo piga tembea hutakiwi kuweka kibanda si unaona mazingira uliyompata bas iwe ivyo ivyo piga toka nduki
 
Wewe ni mtoto wetu sana huku
Hayo mambo tumepitia mwisho wa siku tuliona ni ubatili mtupu na kupoteza muda pesa
Tena kipind hicho ukimaliza tuu ajira mkonon

Hiyo hela bora ungeitunza kuliko kumlisha huyo mayala
Hana shukran kabsaaa
Angekua na shukran angejali hisia zako ulipo mwambia upo mtaan kwao

Achana na hiyo takataka
Check mawazo akili moyo wako vyote vinamuwaza yeye
Wakati yeye hakuzingatii anakuona ngedere tuu
Umeeleweka mkuu.
 
Back
Top Bottom