Hapa ni tulie au nile kona.

Hapa ni tulie au nile kona.

Mdogo wangu hao mademu wa chuo, we kama unapewa mzigo kula usichunguze sana, tunakula kaka zenu ambao tuna hela lakini hatuna muda wa kuuza nao sura, we kula huyo aliyenaye ndio jamaa yake na anayemuwezesha ila anahitaji mtu kama wewe ili asionekane yupo single..

Mimi mwenyewe demu wangu wa UDSM najua kuna kajamaa kanalia mara hapewi mzigo, mara ameonekana na mimi n.k kila ikifika weekend ila siwezi kuingilia mahusiano yao hivyo huwa ninapiga kimya, labda kama kuna mwamba mwingine kama mimi hapo ndio atazinguliwa... kwa sababu ikifika ijumaa anaachiwa jumatatu, na text zake naziona nikiwa nae hajaribu kupiga hata simu

sasa sikia acha ufala utakuja kufeli shule kisa mwanamke ambaye hawezi kuwa level zako, huwezi kumuhudumia

Sponsor kama mimi mtoto analamba laki 2 Kwa mwezi hiyo allowance ya food, 50k nywele kila week 2, data 35k, dk 10k, bado hajataka ya kununua vinguo vyao cheap pale mwenge ukimpa laki anabeba furushi na bado hela nyingine ambazo hazina sababu kila tukionana...utaweza hayo?kama huwezi tulia kula mzigobujilie mema ya nchi ukitembea na vaseline yako
 
Kwa akili hizo wawe tu wasiwasi hamna kitu. Sikiliza kaka zako wanachokwambia we unaenda kujazwa ujinga na puuzi jenzio. Viboko mchapwe tu
Ushauri nauchukua ila mnachozingua ni kama kitu nilichofanya haki exist hii dunia, yaan kama mimi nimekosea sana mpaka kuitwa ng'ombe?

Labda niulize kulikua na ubaya gani mtu kushauri tu kwamba hapo umekosea acha au Fanya hivi ili iwe hivi? mtu anakuja ooh wazazi sijui wanapoteza hela kwamba nikijihusisha na mapenzi totally na disco au..

Anyway wengi wameshauri vitu Vingi nimevinote ikiwemo na comment yako ya kwanza paragraph ya pili nimeuchukua pia ushauri wako lakini kwa nilichofanya ni normal issue kabisa kwa mtu yeyote haipaswi kuonekana kama nimepoteza focus.
 
Mdogo wangu hao mademu wa chuo, we kama unapewa mzigo kula usichunguze sana, tunakula kaka zenu ambao tuna hela lakini hatuna muda wa kuuza nao sura, we kula huyo aliyenaye ndio jamaa yake na anayemuwezesha ila anahitaji mtu kama wewe ili asionekane yupo single..

Mimi mwenyewe demu wangu wa UDSM najua kuna kajamaa kanalia mara hapewi mzigo, mara ameonekana na mimi n.k kila ikifika weekend ila siwezi kuingilia mahusiano yao hivyo huwa ninapiga kimya, labda kama kuna mwamba mwingine kama mimi hapo ndio atazinguliwa... kwa sababu ikifika ijumaa anaachiwa jumatatu, na text zake naziona nikiwa nae hajaribu kupiga hata simu

sasa sikia acha ufala utakuja kufeli shule kisa mwanamke ambaye hawezi kuwa level zako, huwezi kumuhudumia

Sponsor kama mimi mtoto analamba laki 2 Kwa mwezi hiyo allowance ya food, 50k nywele kila week 2, data 35k, dk 10k, bado hajataka ya kununua vinguo vyao cheap pale mwenge ukimpa laki anabeba furushi na bado hela nyingine ambazo hazina sababu kila tukionana...utaweza hayo?kama huwezi tulia kula mzigobujilie mema ya nchi ukitembea na vaseline yako
Respect kaka, nimekuelewa sana.
 
Sijawai feli level yoyote na mbususu nilikua napiga za kutosha kwaiyo masomo hayazuii mapenzi mzee.
Sasa umeleta Uzi wa nini.!?

Sikia hako Kadenu kanaonekana kanapenda party party na mitoko.

Tafuta vihela mtoe outing mpige dinner la nguvu au lunch kule kwa wauza biriyani au mihogo kama akina neycassava au mihogo point

Apige menyu ya kufa mtu ashibe na majuice juice.

Mtoe hapo nenda nae bar nzuri karibu na geto kwako akale mbuzi agizis dompo kuzishusha nyege chini.

Mpekeke geto piga ssna kwa hasira zote hakikisha analipa Kila Senti uliyotumia.

Kisha piga chini huyo demu yaani usimzingatie tena komaa na kitabu.

Kumbuka kondomu maana vinakuwana na UTI hivi videmu au usije ukaitwa baba bila mipango.

Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Mi ni mwanafunzi wa chuo, juzi tarehe 05 kulikua na birthday ya binti flani ni rafiki/mwanachuo mwenzangu aliweka kiparty flani cha magumashi, sehemu aliyopanga kulikua na chumba tupu basi kakawa kama ka ukumbi fulani na party ikafanyikia mule ndani.

Sasa wakati party inaendelea walikuja rafiki wa huyo mwanafunzi mwenzangu wanasoma chuo tofauti na chetu but ni vyuo jirani, baada ya kulishana keki na mambo yote kuisha ikabidi upigwe mziki, wakati mziki unaendelea nikaomba kucheza na binti mmoja kati ya wale waliokuja toka chuo jirani kweli akanikubalia.

Tuliendelea kucheza kwa muda na jinsi tulivyo kuwa tunaendelea kucheza nilianza kuona hali tofauti kwa yule binti like hisia zikawa zinampanda basi nikajaribu kusogeza mdomo wangu karibu na wake nikakuta binti kaupokea na kuung'ang'ania akinipa denda fulani La hatari .

Hiyo hali iliendelea kwa muda mrefu yaani ikawa denda, ulimi masikioni, mitomaso ya maana, sasa nikazidisha uchokozi nikataka kupima oil, nikakuta mtoto ana pad ina maana simba alikua dimbani, dah pozi likakata maana nilishaona kabisa nakaribia kula tunda kimasihara.

Mpaka mida ya saa 7 hivi binti akawa amechoka anahisi usingizi akaniomba nimsindikize ghetto kwake ni karibu kabisa na pale kwenye party basi nikamsindikiza njiani akanitajia namba pia nikamuuliza palepale kama tunaweza endelea kudate akasema its okay, nikamfikisha ghetto kwake mi nikageuka kwenye party.

Mida ya saa nane party ikaisha tukageuka makwetu, kesho yake tarehe 06 tukawasiliana vizuri tu mchana kutwa but jioni nikamuuliza yule binti kama naweza kumtoa dinner akakubali but akanambia si unajua siko poa nikamwambia asijali ni suala la dinner tu sio kingine kweli nikampeleka sehemu tukala tuka enjoy ile time pamoja tukashare baadhi ya vitu ikawa siku nzuri sana nikamrudisha home fresh.

Jana tarehe 07 asubuhi tumewasiliana vizuri sana mchana pia tumewasiliana fresh jioni mida ya saa 18 akanipigia tukaongea kama dakika mbili nikamtania niko karibu ya mitaa yenu nikitegemea atasema anione but akajibu tu sawa then akaniambia yuko anapika atanicheki nikamwambia poa.

Mida ya saa tatu na nusu nikakuta bado yuko kimya nikamtext hakujibu saa nne nikamtext tena hakujibu nikatulia tu, mida ya saa tano akanicheki oh baby sorry kwa kuchelewa kujibu sikuhoji chochote nikamuuliza tu umekula akajibu yes nimekula basi tukaendelea kuchat mambo mengine baada ya muda akaweka status wako dinner somewhere like bar yenye restaurant halfu wamerecord video clip wapo mabinti wawili wasio onekana kwenye video but zinasikika sauti zao na mshkaji flani hivi inaonesha anapiga gambe pale na nyama choma ya kutosha nikamuuliza hii nini? Et sorry leo rafiki wa rafiki yangu ametutoa out but sorry sikukwambia dah ile ikanipa hofu why hakusema na alisema anapika na nilivyomwambia niko karibu na kwao hakuonesha kurespond vizuri.

Nikawaza ukute nilivyompata kirahisi ndivyo wengine wanampata kirahisi?

Sasa Wanangu niambieni hapa nionje mbususu then nipite hivi au nirisk kuwa na serious relationship na yeye maana pia ni pisi Kali kabisa yaani.

Wewe dogo wa chuo mke wako hayuko chuoni. Ukiwa chuo kikuu mke wako bado yuko shule ya msingi. Hao warembo chuo wakojolee tu uchape lapa. Hakuna mke wako hapo.

Ukishahitimu chuo katafute hela uwe na maisha yako ya kujitegemea. Mke wako atakuwa ameshafika sekondari O-level. Kamuopoe akiwa sekondari uanze kuyajenga. Akimaliza form four mshawishi aende chuoni kusoma diploma asiende A-level. Akiwa chuoni anapiga diploma mwaka wa mwisho mtie mimba. Akishainasa hapo sasa oa kwa raha zote utafurahia maisha. Aende kusoma digrii akiwa mama fulani.
 
Ushauri nauchukua ila mnachozingua ni kama kitu nilichofanya haki exist hii dunia, yaan kama mimi nimekosea sana mpaka kuitwa ng'ombe?

Labda niulize kulikua na ubaya gani mtu kushauri tu kwamba hapo umekosea acha au Fanya hivi ili iwe hivi? mtu anakuja ooh wazazi sijui wanapoteza hela kwamba nikijihusisha na mapenzi totally na disco au..

Anyway wengi wameshauri vitu Vingi nimevinote ikiwemo na comment yako ya kwanza paragraph ya pili nimeuchukua pia ushauri wako lakini kwa nilichofanya ni normal issue kabisa kwa mtu yeyote haipaswi kuonekana kama nimepoteza focus.
Wala sishangai watu kukuita ng’ombe, huna akili wala adabu. Mi mwenyewe umenijibu kunya ningekua karibu yako ungeonja kofi dogo huna adabu. Watu wazima washaona akili zako zilipo hamna kitu. Acha wakukamue.
 
Nimekuelewa vizuri lakini mnakosea mnaposema ndo kilichokupeleka chuo, kwaiyo nikiwa chuo inabidi iwe mm na books, Mimi na library mpaka nigraduate? kwamba nyie kipindi mnasoma ndo mlikua mkisoma hivyo? anyway mazuri nayachukua ahsante.
Hakumaanisha uache ila uumizwe kichwa na binti decent,sio hao ambao mmeonana nusu saa kashakupa fungus ya mdogo na ushagusa final line of defense na ukajua mvua inanyesha....within 30 minutes [emoji848].
 
Mkiwa na mioyo midogo kama hiyo msidate na mtu, nunua malaya twanga tambaa, hii kidogo inakujengea moyo baridi. Bet bet kidogo, penda timu zinazopitia nyakati ngumu moyo unakuwa mgumu km barafu
Noma sana!
 
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake 😅😅😅

Kama una hela ingia kwenye mashindano binti mwenyewe ataamua nani abaki nani atoke
Mkuu, hela hatoe wapi Maskini ya Mungu huyo Mwanafunzi..
Boom likiisha wanashindia Mihogo kama Mashabiki wa Yanga na Madunduka FC..😁😁🙏
 
Back
Top Bottom