Hapa ni kwa wanawake tu

Hapa ni kwa wanawake tu

Itakuchukuwa muda kuelewa nini maana ya vitu vya maana, jinsi ya kuwakilisha maada unayotaka kuiwakilisha kwa maneno ambayo hayatamsababisha msilizaji kujisikia kuwa kasemwa vibaya (kawa offended).

Na sio lazima uchanganye kiingereza kuonekana msomi kaka.

Madem wakali utaendelea kuwaita shemeji mpaka utakapojitambua!

Si wewe ndiye uliyesema kiswaenglish ndiyo lugha yakuonekana umeelimika, kwa akili finyu, zilizoeleka kwa watu wengi
 
Hii ni bonge la movie ya kihindi ukiangalia hutojuta kupoteza muda wako ya amir khan
kuna jamaa a.k.a ndio price tag yaani kitu chake usipoteze usiharibu
mara ya mwisho ilikuwa ipo top ten ya all time movies ni nzuri hasa huwa naiangalia kila napopata nafasi inahusu maisha ya chuo na great thinker mmoja hivi ha ha ha ha ha
ngoja niiangalie na leo

hii muvi mi nimeangalia ila huyo price tag mbona hata simkumbuki?
 
hii muvi mi nimeangalia ila huyo price tag mbona hata simkumbuki?

Yule jamaa aliyetaka kumuoa Kareena Kapor hadi suti yake itaharibiwa atachelewa anaibiwa mke siku ya harusi
 
Wallet is proportional to hiv infection and inversely proportional to moral prayers.
 
Yule jamaa aliyetaka kumuoa Kareena Kapor hadi suti yake itaharibiwa atachelewa anaibiwa mke siku ya harusi

Hahahaaa daah sijui nimemsahau vipi yule f.ala......ila siku ya harusi nilimuonea huruma balaa
 
Which type of language inayomtofautisha uneducted and educted man, kama ni kiswaenglish big no!!

We dogo akili yako imeganda kabisa asee.. Pamoja na kurekebishwa na kukosolewa mara kwa mara bado unaandika utumbo tu.. Kwani kujikakamua kuandika kiingereza ndo utaonekana umefika sekondari??????? Acha ujinga bana.. Tena ningekujua huku Shinyanga upo sehemu gani lazima ningekutafuta..
 
Dully Sykes (misifa) inakuponza

Usifanye creaming kwenye Ku approach (Una vitabu 5)

Acha nature ichukue mkondo Wake
La sivyo utasubiri sana...
 
shinyanga imeingiliwa afu nilikuwa na safar pande hizo nimeahirisha ghafla
 
We dogo akili yako imeganda kabisa asee.. Pamoja na kurekebishwa na kukosolewa mara kwa mara bado unaandika utumbo tu.. Kwani kujikakamua kuandika kiingereza ndo utaonekana umefika sekondari??????? Acha ujinga bana.. Tena ningekujua huku Shinyanga upo sehemu gani lazima ningekutafuta..

Unataka kujua naishi shinyanga gan? unitafute, hehehe, unifanyaje? hilo lisukupe shaka. nitakuambia mda siyo mrefu.
 
Back
Top Bottom